Chocolate
Senior Member
- Feb 5, 2009
- 117
- 48
Bidada mbona hivyo kosa langu nini?? Bi Suu ila pole kwa kukalili mimi sinatena CELICA uliza kingine na Multiple ID yako sasa sijui utasema nini nina miliki Gari ya hela mingi tomboka kama naweza baelesee Kipaji Halisi amu,wasikutishe mimi niwako mahabuba! Smile Nivea nipo ulinzi mia!!
Hivi na wewe katika kupitia kwako toka post ya kwanza mpaka hapa unaweza kunionyesha mahali nilipoandika kwamba wewe ndio mmiliki wa cellica? na hata kama unamiliki je hapa JF ni wewe peke yako? Washobokaji wanajistukia wenyewe makelele kibao!