Sa' lakini si unakumbuka mi nilipataga amnesia na nilivyo-recover ndo ukaniambia HS ni binamu yangu... au nimechanganya uliniambia Honey Faith ndo binamu yangu?! Yaani huu ugonjwa mbaya, dah!Jamani jamani, mbona unanisingizia mambo mazito hivi?
Unajua kabisaa HS ni dota wangu wa pekee kabisa, sema unatafuta visingizio.
Koh!koh!koh mama na mwana wakisemezana mie mpita njia nafurahia maongezi yao mubasharaHizo sifa za mume wangu mbona unazijua kiundani hivyo?
Hawawezi kuwa ndugu aisee, wana tofauti kubwa mnooo, Benny is kind,sweet,adoreble,polite, ila yule nshomile wa kisukuma khaaaah!!!
Ili mradi tulishamjua so hawezi kutusumbuaKuwa nae makini huyo, analeta mambo ya tukose wote.
We useme tu vizuri, kwanini unang'ang'ania binti yangu awe binamu yako?Sa' lakini si unakumbuka mi nilipataga amnesia na nilivyo-recover ndo ukaniambia HS ni binamu yangu... au nimechanganya uliniambia Honey Faith ndo binamu yangu?! Yaani huu ugonjwa mbaya, dah!
Basi sawa, n'shaelewa... kumbe ni my daughter lakini sio daughter wa damu hata kidogo!We useme tu vizuri, kwanini unang'ang'ania binti yangu awe binamu yako?
Sikuwa na haraka kipindi hiko..Nilijua itafika 25 ndo tusheherekee..Kumbe!!!!!!!!!Sasa baba mbona tulifikisha miaka 10 hukusheherekea? Wakati na tuzo tulitakiwa kupewa?
Alafu itabidi tujadiliane namna ya kuwalea hawa watoto, na huyu aliyeko tumboni.
Aiseee!!Basi sawa, n'shaelewa... kumbe ni my daughter lakini sio daughter wa damu hata kidogo!
Mkihitaji msaada wa sheria nitawasaidia maana hii familia naipenda sanaSikuwa na haraka kipindi hiko..Nilijua itafika 25 ndo tusheherekee..Kumbe!!!!!!!!!
Hilo halina shida..Mi siwezi kukimbia damu yangu bana..We sema tu unataka tuwalee vipi..Ombi lako ni sheria
Barikiwa sana mpendwaMkihitaji msaada wa sheria nitawasaidia maana hii familia naipenda sana
Afu wewe em Itue familia yangu. Mwanamke mpana kama shati la Le baharia. Tunazopitia ni changamoto tu za familia, yataisha tu. Subiri yakukute, tutakupigia kisingeli mbonaMkihitaji msaada wa sheria nitawasaidia maana hii familia naipenda sana
Mimba ya Honey Faith haina uhusiano wowote na posho za kuzima mwenge.
Unajua huyo ni sweet mangi?? hana uhusiano na scorpion wa buguruni.Nna wivu sana ujue
Na hapo nimeelewa tu I love hilo jingine nikielewa maana yake sijui tu hali itakuaje, ngoja nilale
Vipi tena?!Aiseee!!
Mie kisengeli nimeishakizoea labda mje na ngoma nyingineAfu wewe em Itue familia yangu. Mwanamke mpana kama shati la Le baharia. Tunazopitia ni changamoto tu za familia, yataisha tu. Subiri yakukute, tutakupigia kisingeli mbona
Hahahaha unaanza kuniuzia cd asubuhi hii maana nilipo hapa sijaconfirm baba wa mtoto ni naniMimba ya Honey Faith haina uhusiano wowote na posho za kuzima mwenge.
Yamkute mara ngapi, mpaka wanalazana nje na foleni ndeefu, mara wapelekane kwa manyau nyau!!!Afu wewe em Itue familia yangu. Mwanamke mpana kama shati la Le baharia. Tunazopitia ni changamoto tu za familia, yataisha tu. Subiri yakukute, tutakupigia kisingeli mbona
Honey Faith mimba ni ya nani? Teh teh teeeeeeh!!!Mimba ya Honey Faith haina uhusiano wowote na posho za kuzima mwenge.
Unalijua colabo la mnyaki na mjaluo? Mwl frank haoni ndaniMie kisengeli nimeishakizoea labda mje na ngoma nyingine
Subiri nikizaa sura ya mtoto itanijukisha yupi ni baba halaliHoney Faith mimba ni ya nani? Teh teh teeeeeeh!!!