Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,414
HahahahaUnatuongelesha kiinglish umetusomesha?

HahahahaUnatuongelesha kiinglish umetusomesha?

Hapana aisee, mie hayo mambo nehi nehi, mkoroge nayo huyo msukuma mwenzio na wenzie tu.Vipi nikutafutie nawe pia?

Blaza upo?!Ahsante Douta..Najivunia kuwa nawe..Haupeperushwi kama bendera
Nipo bro..Mambo vipi?Blaza upo?!
Teh teh..Kawaida bro..Hizi ndoa za siku hizi pasua kichwa..Ndo mana watu wanasheherekea jubilee hata miaka mitanokheri kabisa
pole kwa mushkeli
za kifamilia!
kweli changamoto ni nyingiTeh teh..Kawaida bro..Hizi ndoa za siku hizi pasua kichwa..Ndo mana watu wanasheherekea jubilee hata miaka mitano
Mi miaka mitatu tu nasheherekeakweli changamoto ni nyingi
tupambane jubilee ya
miaka 5 siku hizi ina sababu
nyingi za kusherekea!
Hapana, mie sio baba ake mdogo na Heaven Sent bali binamu yake sema hawezi sema anamuogopa atoto kusema mi ni binamu!
Aisee hii familia ina mambo balaaaaHapana, mie sio baba ake mdogo na Heaven Sent bali binamu yake sema hawezi sema anamuogopa atoto kusema mi ni binamu!
Huu ublaza umeanza lini kwa mtu na mkwe wake?Blaza upo?!
Nipo bro..Mambo vipi?
Hahahaaa!! Huu ubinamu hebu uelezee!Hapana, mie sio baba ake mdogo na Heaven Sent bali binamu yake sema hawezi sema anamuogopa atoto kusema mi ni binamu!
Hata mie sijui labda tumuulize Honey Faith, ila nae kwa ile foleni yake sidhani hata kama anawajua ndugu wa hao wa kwenye foleniAm just asking: Benny na RRONDO ni ndugu?
maana si kwa kuchanganya madesa huku...
Am not tagging any one...
Honey Faith, Heaven Sent, atoto, Madame B.

Sasa baba mbona tulifikisha miaka 10 hukusheherekea? Wakati na tuzo tulitakiwa kupewa?Mi miaka mitatu tu nasheherekea
Balaa mimi kuwa binamu na HS, au?! Mwambie tu atoto asiwe na hofu cuz' I shake b4 use, kwahiyo kabla sijapiga funda la Binamu Liquor, si ajabu atakuwa keshawahi kupokonya bilauri!Aisee hii familia ina mambo balaaaa
Mtoto wa mjomba na shangazi, kwani kuna tatizo?!Hahahaaa!! Huu ubinamu hebu uelezee!
Kumbe muharibifu eeh!! Unadhani dota wangu ni wa mchezo mchezo yaani umshake tu!! Thubutuuu!!Balaa mimi kuwa binamu na HS, au?! Mwambie tu atoto asiwe na hofu cuz' I shake b4 use, kwahiyo kabla sijapiga funda la Binamu Liquor, si ajabu atakuwa keshawahi kupokonya bilauri!
Hapana, mie sio baba ake mdogo na Heaven Sent bali binamu yake sema hawezi sema anamuogopa atoto kusema mi ni binamu!
Balaa mimi kuwa binamu na HS, au?! Mwambie tu atoto asiwe na hofu cuz' I shake b4 use, kwahiyo kabla sijapiga funda la Binamu Liquor, si ajabu atakuwa keshawahi kupokonya bilauri!