Verossa

Verossa

Hahahaha....anafumua makaburi na mafuvu yake.
Ila mwanafunzi wangu, wahenga wanasema ya kale ni dhahabu, mavi ya kale hayanuki na mdharau kwao mtumwa.

Btw mwanafunzi wangu mtiifu wewe, ni nani aliyekuficha mpaka huonekani popote?
Kila nikiku-search, sikuoni.....au DEMBA ndio anakufanya utusahau?

mwalimu wangu nilikuwa nakimbiza mwenge, walau tuposho tupo tupo sio kama wajamaa wale, ngoja nije tuzitumbue,,,ila hapa hii sredi bana......@amu yuko wapi?
 
Back
Top Bottom