Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,254
Huu undugu unaolazimisha una lengo gani labda?Mtoto wa mjomba na shangazi, kwani kuna tatizo?!
Huu undugu unaolazimisha una lengo gani labda?Mtoto wa mjomba na shangazi, kwani kuna tatizo?!
Am just asking: Benny na RRONDO ni ndugu?
maana si kwa kuchanganya madesa huku...
Am not tagging any one...
Honey Faith, Heaven Sent, atoto, Madame B.

Hebu dota fafanua huu undugu tafadhali.
Labda nikuulize wewe bi mkubwaHebu dota fafanua huu undugu tafadhali.
Foleni gani jamani?mbona unaanza kunisingizia asubuhi yote hii??Hata mie sijui labda tumuulize Honey Faith, ila nae kwa ile foleni yake sidhani hata kama anawajua ndugu wa hao wa kwenye foleni![]()
![]()
![]()
Kwakweli mie mwenyewe nimepigwa na bumbuwazi, ila ile michezo ya baba yako nina mashaka ukute hii ni product, ameamua kuja kivingine.Labda nikuulize wewe bi mkubwa
Sa' mi kosa langu lipi @my princess sweetheart aple wangu?! Kwani mi ndo nimechagua tuwe binamu wa mjomba na shangazi? Mi si nimekuta tu; au?Huu undugu unaolazimisha una lengo gani labda?
Haha usinikumbushe mie. Yule dota ana mabalaa khaaKwakweli mie mwenyewe nimepigwa na bumbuwazi, ila ile michezo ya baba yako nina mashaka ukute hii ni product, ameamua kuja kivingine.
Maana nakumbuka yule dota wake(nimemsahau jina) yule wa kwenye pillow talk hata sina taarifa nae.
Eti kwani ni ndugu wale?
Hayo majina ya kiinglish hapo ndio umemuita dota wangu?Sa' mi kosa langu lipi @my princess sweetheart aple wangu?! Kwani mi ndo nimechagua tuwe binamu wa mjomba na shangazi? Mi si nimekuta tu; au?
Kwa kweli sijui kabisaEti kwani ni ndugu wale?
Hehe naona soon utakuwa my lemon wakeHayo majina ya kiinglish hapo ndio umemuita dota wangu?
Yangu tu ndio yanaonekana wakati mtulivu mie sina shida, ya baba yako ni mazito zaidi, we mtu anapillow talk na bintie si balaa hili!!Haha usinikumbushe mie. Yule dota ana mabalaa khaa
Sasa tunaanza na ulemon hata kabla ya asali si balaa hili.Hehe naona soon utakuwa my lemon wake
Daddy si wanasemaga nature yao sijuiYangu tu ndio yanaonekana wakati mtulivu mie sina shida, ya baba yako ni mazito zaidi, we mtu anapillow talk na bintie si balaa hili!!
Sasa tunaanza na ulemon hata kabla ya asali si balaa hili.
Ngoja nifuatilie aweza kuwa our son huyu, baba yako anajijua mwenyewe.
Hizo sifa za mume wangu mbona unazijua kiundani hivyo?Hawawezi kuwa ndugu aisee, wana tofauti kubwa mnooo, Benny is kind,sweet,adoreble,polite, ila yule nshomile wa kisukuma khaaaah!!!
Yaani hiyo kauli inanikerega natamanigi nikimsikia mtu anaisema nimtie boonge la singi, dady yako kanisumbua balaa.Daddy si wanasemaga nature yao sijui![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umesahau wewe ndio uliniambia?Hizo sifa za mume wangu mbona unazijua kiundani hivyo?