Verossa

Verossa

Yaani hiyo kauli inanikerega natamanigi nikimsikia mtu anaisema nimtie boonge la singi, dady yako kanisumbua balaa.
Hivi una habari kipindi kile amepotea alikokuwa? Utachoka mwili na maini, kwakweli nastahili tuzo.
Hahaha yani me hata kama huwa nipo barabarani, utasikia tu limsonyo langu. Upuuzi mtupu

Weee alikuwa wapi?
 
Hahaha yani me hata kama huwa nipo barabarani, utasikia tu limsonyo langu. Upuuzi mtupu

Weee alikuwa wapi?
Dota acha tu mengine hayasemeki, ngoja tu nigugumie mwenyewe na nionekane mie ndio mbaya. Si unajua wenzetu hawakoseagi.
 
Yaani hiyo kauli inanikerega natamanigi nikimsikia mtu anaisema nimtie boonge la singi, dady yako kanisumbua balaa.
Hivi una habari kipindi kile amepotea alikokuwa? Utachoka mwili na maini, kwakweli nastahili tuzo.
We mtoto hapa ndo unanishindaga... kule kuna dota, huku kuna dady yake dota... aaaaaaargh! Hoyaa, Mentor, huyu mtu wako keshanishinda sasa bora niondoke zangu nikaishi kwa shangazi!
 
We mtoto hapa ndo unanishindaga... kule kuna dota, huku kuna dady yake dota... aaaaaaargh! Hoyaa, Mentor, huyu mtu wako keshanishinda sasa bora niondoke zangu nikaishi kwa shangazi!
Hahaaa!! Sasa ambacho haujaelewa hapo ni nini?
 
Ndo n'shaelewa sasa... miaka yote mi najuwa we ndo my sweet honey wangu na Heaven Sent ni mtoto wa uncle kv uliniambia dady ake ni uncle angu kwahiyo ni binamu yangu, kumbe uliyenidanganya uncle angu ndo han yako mwenyewe, aaaargh! Nishachoka!
Jamani jamani, mbona unanisingizia mambo mazito hivi?
Unajua kabisaa HS ni dota wangu wa pekee kabisa, sema unatafuta visingizio.
 
Back
Top Bottom