Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,414
Baby unajua nilipoAcha tu
namalizia weekend
maliza hili jambo!
Baby unajua nilipoAcha tu
Upo wapi? Me hujaniagaBaby unajua nilipo
namalizia weekend
maliza hili jambo!
Lol'I don't lose people
Huna adabu, unaomba msamaha huku unaongezea vitu vya ajabu!!Mkwe nimeomba radhi
kukuita bae ni kukukosea heshima sana maana wapo
wengi wanaokuta hivyo!
Tena ukae mbali maana kwa ugombanishi haujambo, kakamega leo kapotelea wapi?Mie sisemi chochote naogopa wanafamilia wasije nisema nagombanisha familia
pa siku zote jioniUpo wapi? Me hujaniaga
We matatizo yako usingizie familia yangu kweli!! Lini uliona tumegombana? Sie hata ugomvi hatuujui, tunausikiaga tu.usijali familia hii kila
siku kugombana
mengine yapo pending hapa
Nitake radhi, viserengeti boy tena!!Who knows labda ulimchombeza huko vipembeni maana si kwa kuitwa hivyo.
Aiseeee naona ni kupatwa kwa bae.....![]()
Mkwe hewa huyu dota, mwanaume haishi visingizio, kila siku ana jipya, hii ni dalili ya gubu, atakuwa akikutafutia matatizo kila siku, mara umeweka chumvi kidogo, mara mapazia masafi mno, mara unatandika mno mashuka meupe!!Baby unajua nilipo
namalizia weekend
maliza hili jambo!
Upo wapi? Me hujaniaga
Hapo chachaWe matatizo yako usingizie familia yangu kweli!! Lini uliona tumegombana? Sie hata ugomvi hatuujui, tunausikiaga tu.
Anaamsha mashetani ya kinyakiMkwe hewa huyu dota, mwanaume haishi visingizio, kila siku ana jipya, hii ni dalili ya gubu, atakuwa akikutafutia matatizo kila siku, mara umeweka chumvi kidogo, mara mapazia masafi mno, mara unatandika mno mashuka meupe!!
So jiandae kabisa kisaikolojia.
Hayajui vizuri, asije tu kulia baadae maana akikupoteza hilo ni given(kulia)Hapo chacha
Anaamsha mashetani ya kinyaki
Nitake radhi, viserengeti boy tena!!
List yako ndio ina viserengeti mie hao ni mwiko kabisa.
Alie mara ngapi sasa?Hayajui vizuri, asije tu kulia baadae maana akikupoteza hilo ni given(kulia)
Hili nalo unanisingizia tenapa siku zote jioni
mkwe sijui kakupa nini leo
I tried carrying the weight of the worldMkwe hewa huyu dota, mwanaume haishi visingizio, kila siku ana jipya, hii ni dalili ya gubu, atakuwa akikutafutia matatizo kila siku, mara umeweka chumvi kidogo, mara mapazia masafi mno, mara unatandika mno mashuka meupe!!
So jiandae kabisa kisaikolojia.
Anaamsha mashetani ya kinyaki
Hayajui vizuri, asije tu kulia baadae maana akikupoteza hilo ni given(kulia)
Alie mara ngapi sasa?
Hili nalo unanisingizia tena![]()
![]()
![]()
We mwana we!!
Pole sana my dia.Inabidi mjikaze mmpeleke mama yenu kwa mtu wa psychology inaonekana ana tatizo si bureeeAcha tu
HahahaPole sana my dia.Inabidi mjikaze mmpeleke mama yenu kwa mtu wa psychology inaonekana ana tatizo si bureee

Fanya maamuzi bado mapema usije uziwa mbuzi kwenye gunia maana si kwa drama hizi...usijali familia hii kila
siku kugombana
mengine yapo pending hapa
