Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,761
- 167,940
Hadi ukubwa wa papa kaongeza, huyu kiboko kuliko
Kwa hivyo style ya makalio makubwa ikipita,atajibadilisha tena?alitumia dollar elf 60 kujibadilisha
Itakuwa Hathaway kukuona,ndio sababu hajui,nami nasema,kama hajawahi kukuona,hakina hajawahi kumuona black beauty dunia nzimaKwani watoto weusi ni wabaya?
Ndo maana napenda mademu weusi akiwa mweupe awe mzungu.i like natural,hawa waafrika weupe akiugua akalazwa hospital bila vpodozi japo wk 1 tu,utahisi mwenza wako siyo atakavyo badilia utashangaa[emoji15]View attachment 541318Vera Sidika kabla na baada ya kutumia vipodozi.
Mbona alitumia pesa ndogo sana? Dollar 60 haiwezi kumbadilisha namna hiyoalitumia dollar elf 60 kujibadilisha
Huyu ni miongoni mwa wanawake wajinga zaidi Duniania, asaidiwe kueleweshwa madhara ya alichokifanya Duniani hata Akhela
Hivi vidonge havinaga expiry date? ? Nawaza asije kurudia rangi yake some ten years later! Au ni renewable?? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mwenyewe Baada ya kuhojiwa etiiii Wakati yupo Cheusi Dawa Wanaume wengi walikuwa wakimuacha for white chic's.Akaona aahhhhh Ngoja niwakomeshe.And now anawapangaa tu mana wengi Kumbe wanapenda vyeupe!!(Wanaume Mungu anawaona)Sijui vidonge alivyomeza kama vimeacha mayai Hata kidogo.Huruma sana mwanamke mwenzetu.
Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
duh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Evelyn Chumvi maneno gani sasa haya.Hadi ukubwa wa papa kaongeza, huyu kiboko kuliko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii ndio maana sahihi kabisa ya uchawi.
Nani kaongelea KIPI DOZI?ina maana hadi wowowo ni matokeo ya kipidozi?
Hapana,baada ya kujikoboa ndo kanoga zaidiMakinikia yana waharibu sana. Alikua mzuri sasa kajikoboa na modifications za matako.
Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Serious, kafanya surgery ya kuongeza ukubwa wa papuchi (kipapa) wanaume mnatuvuruga mnoduh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Evelyn Chumvi maneno gani sasa haya.