Vera Sidika kabla na baada ya kutumia vipodozi

Vera Sidika kabla na baada ya kutumia vipodozi

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
25,342
Reaction score
34,747
Screenshot_2017-07-13-16-06-44_1.jpg
Vera Sidika kabla na baada ya kutumia vipodozi.
 
Mwenyewe Baada ya kuhojiwa etiiii Wakati yupo Cheusi Dawa Wanaume wengi walikuwa wakimuacha for white chic's.Akaona aahhhhh Ngoja niwakomeshe.And now anawapangaa tu mana wengi Kumbe wanapenda vyeupe!!(Wanaume Mungu anawaona)Sijui vidonge alivyomeza kama vimeacha mayai Hata kidogo.Huruma sana mwanamke mwenzetu.

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Kujitambua muhimu, ivi wanakuwa hawaoni haya wakikutana na watu wao wa zamani

Sent from my GT-I9152P using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom