Vera Sidika kabla na baada ya kutumia vipodozi

Vera Sidika kabla na baada ya kutumia vipodozi

Mwenyewe Baada ya kuhojiwa etiiii Wakati yupo Cheusi Dawa Wanaume wengi walikuwa wakimuacha for white chic's.Akaona aahhhhh Ngoja niwakomeshe.And now anawapangaa tu mana wengi Kumbe wanapenda vyeupe!!(Wanaume Mungu anawaona)Sijui vidonge alivyomeza kama vimeacha mayai Hata kidogo.Huruma sana mwanamke mwenzetu.

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
hata mimi kwa kweli nimempenda baada ya kuchubua .
 
Ila sasa hivi amenoga .
Ya zamani kafanania "mhenga"

Sent from my HTC ONE using JamiiForums mobile app
 
Duuuu hiyo ni big time evolution..

Sent from my SAMSUNG-SM-G935A using JamiiForums mobile app
 
Kujitambua muhimu, ivi wanakuwa hawaoni haya wakikutana na watu wao wa zamani

Sent from my GT-I9152P using JamiiForums mobile app
Kwanza watu wake wa zamani hawawezi kumtambua. Labda ajitambulishe upya. Hao ni watu wawili tofauti.

Sent from my E5306 using JamiiForums mobile app
 
ila ki ukweli sasa kawa mzuri

tuwe wakweli.


lakin hawa wanawake nduo unamchukua unajua mta zaa kitoto ki rembo pia, halafu kina toka kibaya na cheusi tii, kumbe kimerithi kwa original mama.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani katika watu ambao vipodozi vimewakubali huyu demu namba moja aisee

Hata value yake imepanda mara dufu tofauti na hapo awali


Nimempenda sana baada ya kujichubua
 
Back
Top Bottom