Vazi la Rais Uhuru Kenyatta

Vazi la Rais Uhuru Kenyatta

ID yako ni kongwe saana hapa jamvini, probably ni mtu mzima mnoo..lakini mada unazo anzisha huwa haziendani na umri wako
 
Nyani Ngabu,

..Jiwe anapenda kuvaa kijeshi lakini askari wetu wanapofariki wakiwa ktk majukumu yao hajitokezi kuwaaga.

..baadhi yetu tulipinga kitendo cha Uhuru Kenyatta kuvaa kijeshi. Na hiyo ilikuwa kabla Magufuli hajawa Raisi.

..suala la Jiwe kuvaa kijeshi na ukakasi anaosababisha lilielezewa vizuri na Kiranga.

Cc tindo, Malcom Lumumba

Jemedari mkuu wa majeshi kutoenda kuwaaga Askari wanaopoteza maisha yao wakiwa kwenye mission ni valid criticism.

Lakini haya ya magwanda ya kijeshi ni triviality tu.

Mi mwenyewe hapa ni camouflaged T-shirts kadhaa....
 
Kosa ni kosa tuu haijalishi limefanywa na nani. Rais Kenyatta should know better...
 
Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!

Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.




Mbona alishavaa na palikalika kabisa

images (8).jpeg
 
Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!

Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.


Mbona alishavaa na palikalika tu fresh ,

Au hukumbuki
 
Kenyatta ana haki ya kuvaa vazi la kijeshi maana nchi yao DAMU ilimwagika wakatai wa kupigania uhuru sio uchwa wa JIWE wa Tanzania na vazi la kijeshi
 
Kenyatta anajitambua.
Alijiandaa kuwa rais
Huyu wakwetu ilikuwa sandakalawe..., mwenyekupata ..apate
Mbona unakwenda nje ya mada? Chuki zitakufanya kuwa amberruty mkuu
 
Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!

Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.



Kwani Magufuli ajawahi kuvaa kijeshi?
 
Jemedari mkuu wa majeshi kutoenda kuwaaga Askari wanaopoteza maisha yao wakiwa kwenye mission ni valid criticism.

Lakini haya ya magwanda ya kijeshi ni triviality tu.

Mi mwenyewe hapa ni camouflaged T-shirts kadhaa....

..wanaom-criticize kwa kuvaa mavazi ya kijeshi wanaamini anafanya hivyo kwa nia ya KUTUNISHA MISULI na KUWATISHA wananchi.

..suala lingine ni kwamba wako wanaoamini kwamba Jiwe ni Dikteta, kwamba anatawala kiimla. Sasa kiongozi wa namna hiyo akivaa kijeshi ndiyo anazidisha ile imani kwamba anakwenda kuongoza kijeshi-jeshi kuliko kiraia.

Cc Kiranga
 
Hoja yangu ni kwamba, akivaa Magufuli tunaaminishwa kuwa kavaa hivyo kwa sababu ni dikteta.

Uhuru tunaaminishwa kwamba ndo mmoja wa vinara wa demokrasia.

Sasa Uhuru akivaa kijeshi bado anakuwa kinara wa demokrasia au anakuwa dikteta?
vitendo ndiyo vinasema huyu ni dikteta au laa siyo mavazi
 
..wanaom-criticize kwa kuvaa mavazi ya kijeshi wanaamini anafanya hivyo kwa nia ya KUTUNISHA MISULI na KUWATISHA wananchi.

..suala lingine ni kwamba wako wanaoamini kwamba Jiwe ni Dikteta, kwamba anatawala kiimla. Sasa kiongozi wa namna hiyo akivaa kijeshi ndiyo anazidisha ile imani kwamba anakwenda kuongoza kijeshi-jeshi kuliko kiraia.

Cc Kiranga

Lakini kwani Magu keshawahi kuvaa hayo magwanda nje ya context???

Ni mara ngapi tokea awe rais keshaonekana kuyavaa?
 
Mtani Nyani Ngabu, mbona hata Rais Magufuli alitinga 'gwanda za kijeshi' kule Arusha? Rais aweza kuvaa atakavyo, kikubwa ni kuwa mavazi ya heshima na staha

Yes ni kweli na vyombo vya habari vilimwonesha na hakuna aliyemwita dikteta sijui mtoa mada reference yake ni nini kwa kweli.
 
Back
Top Bottom