Matumbulu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 315
- 265
Ngoja waje.Makamanda
Ngoja waje.Makamanda
What !We shall revisit this.😛Rushwa ilivyosambaa nchi nzima ndo (Uhuru) alijiandaa kuwa Rais?Poor you.
Hoja yangu ni kwamba, akivaa Magufuli tunaaminishwa kuwa kavaa hivyo kwa sababu ni dikteta.
Uhuru tunaaminishwa kwamba ndo mmoja wa vinara wa demokrasia.
Sasa Uhuru akivaa kijeshi bado anakuwa kinara wa demokrasia au anakuwa dikteta?
Sina muda wa kubishana na wewe!Wewe ni mwanajeshi? Una uhakika rais wetu hana vazi lake maalumu jeshini kama jemedari mkuu wa majeshi?
Threads za hivi haziwezi kuwasaidia kumsafisha na udikteta. Ni dikteta mkisema, ni dikteta mkinyamaza.Ndiyo, lakini tuliambiwa kwamba kavaa hivyo sababu yeye ni dikteta....
Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Acha Chuki zisizo na msingi.Hivi unajua kuwa Rais wa Kenya ana vazi maalum la kijeshi ndani ya jeshi? Huyu wa kwetu hata haelewi taratibu za mavazi ya kijeshi. Yan anadandia dandia tu!
Sina muda wa kubishana na wewe!
Magufuli alishavaa hivyo ila sikumbuki kama aliitwa dictator
Nani kakuaminisha wewe???Hoja yangu ni kwamba, akivaa Magufuli tunaaminishwa kuwa kavaa hivyo kwa sababu ni dikteta.
Uhuru tunaaminishwa kwamba ndo mmoja wa vinara wa demokrasia.
Sasa Uhuru akivaa kijeshi bado anakuwa kinara wa demokrasia au anakuwa dikteta?
Uzi wa hovyo sana huu, Lissu angeita proffesorial rubbish! Hata siku Magu anavaa kijeshi Uhuru alikuwa keshavaa hivyo hivyo!
Uzuri wa Kenyatta ni kwamba anaweza kuvaa vazi hilo na kuruhusu democracy itamalaki!
Nani kakuaminisha wewe???
Rais si ndy amiri jeshini mkuu ......Hivi unajua kuwa Rais wa Kenya ana vazi maalum la kijeshi ndani ya jeshi? Huyu wa kwetu hata haelewi taratibu za mavazi ya kijeshi. Yan anadandia dandia tu!
Mliambiwa wewe na nani? Na nani aliwaambia?Ndiyo, lakini tuliambiwa kwamba kavaa hivyo sababu yeye ni dikteta....
Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Wewe ni fala kweli,matendo ya Magufuli na Kenyatta ni sawa? Magufuli alipovaa alifanana na Idd Amin kwa Sababu magufuli ni Dikteta,Kenyatta ni tofauti kwa Sababu yeye ni muungwanaNi Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Alipovaa yale magwanda nani alijali? acha umbea wako wa kike wa kila kukicha!Hoja yangu ni kwamba, akivaa Magufuli tunaaminishwa kuwa kavaa hivyo kwa sababu ni dikteta.
Uhuru tunaaminishwa kwamba ndo mmoja wa vinara wa demokrasia.
Sasa Uhuru akivaa kijeshi bado anakuwa kinara wa demokrasia au anakuwa dikteta?