Kakwambia nani? Mbona tuliona kawaida tu.Ndiyo, lakini tuliambiwa kwamba kavaa hivyo sababu yeye ni dikteta....
Aisee kesi zote anazokumbwa nazo huyo kinyata za kujimilikisha ardhi kubwa sana karibu nusu theluthi ya Kenya nzima hadi alishafikishwa mara nyingi tu katika mahakama kuu ya dunia "The Hegue" lakini bado tu ndiye malaika kwako wala c dikteta?Wewe ni fala kweli,matendo ya Magufuli na Kenyatta ni sawa? Magufuli alipovaa alifanana na Idd Amin kwa Sababu magufuli ni Dikteta,Kenyatta ni tofauti kwa Sababu yeye ni muungwana
Nafikiri kuna sheria inayomruhusu Rais kuvaa nguo za jeshi kama amiri jeshi mkuu hatika matukio maalumu. Kwahiyo sioni shida.Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Nafikiri kuna sheria inayomruhusu Rais kuvaa nguo za jeshi kama amiri jeshi mkuu hatika matukio maalumu. Kwahiyo sioni shida.
Swali kuu ni kwa nini MAKAMANDA wanaona ni shida?Hata mimi sioni shida!
Mmmmmh.....tafaadhali bibi/bwana mleta Uzi, siyo “kavaa kijeshi” sema “kavaa kiaskari” unakuwa kama hujasoma bwana,Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Lakini kwani Magu keshawahi kuvaa hayo magwanda nje ya context???
Ni mara ngapi tokea awe rais keshaonekana kuyavaa?
..Good question.
..wanaokosoa wanadai hata watangulizi wake hawakuwahi kuvaa kijeshi ktk shughuli ambayo Jiwe alionekana amevaa kijeshi.
..wanaomuunga mkono waliwahi kuonyesha picha za Mwalimu Nyerere amevaa kijeshi, lakini walipingwa kwa hoja kwamba Mwalimu alikuwa amevaa mavazi ya mgambo au JKT na ilikuwa wakati wa vita vya Kagera.
..wakosoaji pia wanadai Jiwe hakuyatendea heshima au haki mavazi ya kijeshi. Askari wetu hawaruhusiwi kufuga ndevu kijembe. Sasa Jiwe alivaa kijeshi huku amefuga kijembe kitu ambacho askari akifanya huwa anachukuliwa hatua za kinidhamu.
Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Ndiyo, lakini tuliambiwa kwamba kavaa hivyo sababu yeye ni dikteta....
Magufuli angevaa hivyo angeitwa dikteta
Ni Jamhuri Day huko Kenya na Rais Kenyatta kavaa kijeshi!
Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Wewe ni mwanajeshi? Una uhakika rais wetu hana vazi lake maalumu jeshini kama jemedari mkuu wa majeshi?
Uhuru ameishi ikulu toka anazaliwa, huyu mwingine ni limbukeni la kijijini huko! Poor mrundi
Amiri jeshi mkuu wetu ni nani?
..ni swali ambalo nilijiuliza walipokuwa wanaagwa askari mashujaa waliofariki Mkiru, na DRC?
kwani sisi tulifanya sherehe za uhuru ndugu?Angekuwa ndo Rais Magufuli kafanya hivyo majuzi kwenye sikukuu ya Uhuru pasingekalika humu.
Kibongobongo kuvaa kijeshi ni ushamba tu na ulimbukeni. Kujifanya unajua sana jeshi wakati jitu shamba tu.Hoja yangu ni kwamba, akivaa Magufuli tunaaminishwa kuwa kavaa hivyo kwa sababu ni dikteta.
Uhuru tunaaminishwa kwamba ndo mmoja wa vinara wa demokrasia.
Sasa Uhuru akivaa kijeshi bado anakuwa kinara wa demokrasia au anakuwa dikteta?