Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,154
- 137,162
- Thread starter
- #41
Alipovaa yale magwanda nani alijali? acha umbea wako wa kike wa kila kukicha!
Wewe na makamanda wenzako mlijali na mkajiliza.
Alipovaa yale magwanda nani alijali? acha umbea wako wa kike wa kila kukicha!
daah na amepata..kupata kwake tumepatwa sisi...Kenyatta anajitambua.
Alijiandaa kuwa rais
Huyu wakwetu ilikuwa sandakalawe..., mwenyekupata ..apate
kweli.. ngabu hakuona....Mtani Nyani Ngabu, mbona hata Rais Magufuli alitinga 'gwanda za kijeshi' kule Arusha? Rais aweza kuvaa atakavyo, kikubwa ni kuwa mavazi ya heshima na staha
Uhuru kama jina lake ni baba wa demokrasia huku mikutano tu ccm inaogopa inawaweka watu ndaniHoja yangu ni kwamba, akivaa Magufuli tunaaminishwa kuwa kavaa hivyo kwa sababu ni dikteta.
Uhuru tunaaminishwa kwamba ndo mmoja wa vinara wa demokrasia.
Sasa Uhuru akivaa kijeshi bado anakuwa kinara wa demokrasia au anakuwa dikteta?
Uhuru kama jina lake ni baba wa demokrasia huku mikutano tu ccm inaogopa inawaweka watu ndaniHoja yangu ni kwamba, akivaa Magufuli tunaaminishwa kuwa kavaa hivyo kwa sababu ni dikteta.
Uhuru tunaaminishwa kwamba ndo mmoja wa vinara wa demokrasia.
Sasa Uhuru akivaa kijeshi bado anakuwa kinara wa demokrasia au anakuwa dikteta?
Everbody is stupid we only differ on the degree of stupidity! Basing on this thread you we unaongoza!You’re stupid
Hahahahami Tanzania ndivyo tulivyo..
Everbody is stupid we only differ on the degree of stupidity! Basing on this thread you we unaongoza!
Katika research we only cite the gurus as literature review
Then wewe unabana pua na kusema uliambiwa na kamanda! So stupid
Magufufi hana ubaya sie ndio wabaya ambao tumezoea tabia mbaya na kuziona tabia nzuri ndio mbaya.Mungu atusaidie tubadilike .Sidhani kama unalolisema linaukweli ,hata kama kuna chuki zingine Ila kwa hili si kweli
As your dumb @sseeeehhhhYou are dumb.
Ni ujinga tuAcheni kumfananisha Kenyata na JIWE
Na LOG OFF
Tena totally imbecile walahiYou’re stupid
Rais wa Tanzania Hana Vazi la Jeshi jeshini?au wewe unajua sana taratibu za jeshi kuliko jeshi lenyewe?Hivi unajua kuwa Rais wa Kenya ana vazi maalum la kijeshi ndani ya jeshi? Huyu wa kwetu hata haelewi taratibu za mavazi ya kijeshi. Yan anadandia dandia tu!
Ataonaje wakati anaangalia kwa "jicho la tatu"We huoni hapo vinala wa NASA raila mudavadi, kalonzo na wetangula wapo hapo wamealikwa na wamekaa meza kuu, na amewapigia salute, sasa jiulize angekuwa jiwe angefanya hayo.