Vazi la Rais Uhuru Kenyatta

Vazi la Rais Uhuru Kenyatta

Tatizo la Magu ni kuvaa hilo jeshi na kuanza kujitapa kwamba yeye ndio Jemedari Mkuu wa Majeshi. hayo ni maneno ya kidicteta kutisha watu.
HAHAHAHA wewe ndio walke wanao ongelewa kwenye huu uzi kwanin akijitapa wewe unawashwa nini? kama unafikiri kuwa Rais ni rahisi kachukue fomu hahahaha TANAPA bhana
 
Hoja yangu ni kwamba, akivaa Magufuli tunaaminishwa kuwa kavaa hivyo kwa sababu ni dikteta.

Uhuru tunaaminishwa kwamba ndo mmoja wa vinara wa demokrasia.

Sasa Uhuru akivaa kijeshi bado anakuwa kinara wa demokrasia au anakuwa dikteta?
Nani aliyekuaminisha hivyo, alishavaa kwani tulisema, udikteta unakuja kwa matendo yanayofanyika
 
Back
Top Bottom