Naomba kuelimishwa juu ya mahesabu ya kukokotoa VAT kwenye mauzo yenu ya umeme wa TANESCO.
Nimeona kuwa TANESCO wanakosea kukokotoa VAT kwenye kiasi anacholipa mteja.
Badala ya kukokotoa VAT kutokana gharama ya umeme alionunua mteja, TANESCO wanakata kwanza VAT halafu inayobaki ndio wanaigawia kwenye bei ya umeme, halafu wanakupa umeme.
Mfano. Ukilipa 100,000. Wanakata kwanza VAT 18,000 halafu wanakupa umeme wa hela inayobaki yaani 82,000. Kama bei ya umeme ni 297.98 utapata unit 275.19.
Kiuhalisia walitakiwa ununue kiasi fulani cha umeme, wakokotoe jumla ya gharama ya huo umeme, halafu wakudai VAT kulinganga na umeme ulionunua.
Mfano Kwa 100,000, ungeweza kununua unit 284.4 kwa gharama ya 84,745.76 kwa bei ya 297.98, VAT ingekuwa 15,254.24.
Kwa mtindo huu wa kukata VAT kwanza mteja analipa VAT kubwa zaidi na kununua umeme pungufu.
Ni kweli TANESCO wameshindwa kuweka kanuni ya kukokotoa VAT?
Naomba kusahihishwa kama nimekosea.
Nimeona kuwa TANESCO wanakosea kukokotoa VAT kwenye kiasi anacholipa mteja.
Badala ya kukokotoa VAT kutokana gharama ya umeme alionunua mteja, TANESCO wanakata kwanza VAT halafu inayobaki ndio wanaigawia kwenye bei ya umeme, halafu wanakupa umeme.
Mfano. Ukilipa 100,000. Wanakata kwanza VAT 18,000 halafu wanakupa umeme wa hela inayobaki yaani 82,000. Kama bei ya umeme ni 297.98 utapata unit 275.19.
Kiuhalisia walitakiwa ununue kiasi fulani cha umeme, wakokotoe jumla ya gharama ya huo umeme, halafu wakudai VAT kulinganga na umeme ulionunua.
Mfano Kwa 100,000, ungeweza kununua unit 284.4 kwa gharama ya 84,745.76 kwa bei ya 297.98, VAT ingekuwa 15,254.24.
Kwa mtindo huu wa kukata VAT kwanza mteja analipa VAT kubwa zaidi na kununua umeme pungufu.
Ni kweli TANESCO wameshindwa kuweka kanuni ya kukokotoa VAT?
Naomba kusahihishwa kama nimekosea.