Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mtalii wetu ndipo anapo niacha hoi, yeye yanayo endelea nchini kwake akaaa, kazi ni kujiweka matawi ya juu kwa nchi za wengine, Ndo maana majirani zetu wanadhani ni the best president ever wakati wa bongo tunamuona ni the worst!
Akitoka huko tu, bondeni kumpongeza Zuma!
Hiyo siyo mwaka huu.Mpaka mwakani...Mkulu mie huwa nampendia kitu kimoja tu..anajua kupiga pamba..Ana mpango wa kwenda kujitambulisha kwa Obama pia!
naomba mwenye itenary yake ya safari mpaka desemba...
Kazi ya Shein ni nini hasa?
Kwenda kumuaga na kumpokea.
naomba mwenye itenary yake ya safari mpaka desemba...
sasa kama mwenzake amemwalika huko akatae?
hivi wewe rafiki yako akikualika kwake umtembelee wewe utatoa nje?
Simtetei ila hapa siku za nyuma Khama alikuja Arusha ktk shughuli fulani ya Kijeshi hule Monduli..ndo akamwalika!
Sasa sijui ni kwa nini vingozi wengine kama m7, au Kibaki nao huwa hawaalikwi mara kwa mara kama yeye!