Vasco aaga tena: Baada ya Saudia, maneno Botswana

sasa kama mwenzake amemwalika huko akatae?

hivi wewe rafiki yako akikualika kwake umtembelee wewe utatoa nje?

Simtetei ila hapa siku za nyuma Khama alikuja Arusha ktk shughuli fulani ya Kijeshi hule Monduli..ndo akamwalika!

Sasa sijui ni kwa nini vingozi wengine kama m7, au Kibaki nao huwa hawaalikwi mara kwa mara kama yeye!

Rais wenu alilambwa na mbwa miguu wakati akiwa mdogo!! mtu yeyote ambaye hatulii kwake siku zote yuko kwa watu,mara zote miguu inawasha kutembea,wahenga walisema mtu huyo alilambwa na mbwa miguu yake!! mbwa huwa hatulii ni kiguu na njia muda wote!!
Acha amalize mumpige chini, kwanza sidhani kama anaelewa aliyoyafanya anao ujasiri wa kuja waomba kura tena, bora apotelee mbali huko huko, ccm waje na mtu mwingine!
 
..halafu jamaa wanaonekana wako bored and uncomfortable.

..hata hivyo vicheko na body language inaonekana ya kinafiki.

..they have done this over and over and over.

..mtu ukisafiri mara nyingi then safari zinakuwa not as exciting as before. sasa hebu fikiria kwa wale wanaokuja kukuaga tena na tena.

NB:

..Dr.Slaa yuko wapi? nakumbuka Sumaye alivyokwenda USA na kutumbua mill 500, Dr alimpogia kelele sana. sijui kwanini kwa Muungwana Dr ameamua kumvumilia.
 
Hiyo siyo mwaka huu.Mpaka mwakani...Mkulu mie huwa nampendia kitu kimoja tu..anajua kupiga pamba..

Kitu ambacho sikipendi katika politics ni kuwa kama Makamu wa Rais..yaani Mzee Shein na heshima zake zote huwa anakwenda kumuaga na kumpokea!

Protokali zilizopitwa na wakati,sijawahi kumuona dubya akiagwa kama huyu Mkulu wetu!


Kazi ya Shein ni nini hasa?

Kumuaga na kumpokea Raisi!
 
Rais wenu alilambwa na mbwa miguu wakati akiwa mdogo!! mtu yeyote ambaye hatulii kwake siku zote yuko kwa watu,mara zote miguu inawasha kutembea,wahenga walisema mtu huyo alilambwa na mbwa miguu yake!! mbwa huwa hatulii ni kiguu na njia muda wote!!
Acha amalize mumpige chini, kwanza sidhani kama anaelewa aliyoyafanya anao ujasiri wa kuja waomba kura tena, bora apotelee mbali huko huko, ccm waje na mtu mwingine!

Naambiwa pia Muungwana anapenda sana supu ya miguu ya kuku, Wahenga pia husema makongoro ya kuku husababisha mtu kuwa mtembezi...hekaya za kale hizi sijui ukweli wake....
 
sasa kama mwenzake amemwalika huko akatae?

hivi wewe rafiki yako akikualika kwake umtembelee wewe utatoa nje?

Simtetei ila hapa siku za nyuma Khama alikuja Arusha ktk shughuli fulani ya Kijeshi hule Monduli..ndo akamwalika!

Sasa sijui ni kwa nini vingozi wengine kama m7, au Kibaki nao huwa hawaalikwi mara kwa mara kama yeye!
Labda sura zao hazina mvuto. kwi kwi kwi!
 

huyu ndio AKa MUUNGWANA...ZOMBOKO!!!


ALIPOKEA NCHI IKIWA NA RESERVE MATUMIZI YA NCHI YA 11 MONTH [2.4 BILLION DOLLARS]--NOTE THIS ALSO IS SUPPORTED BY HIS OWN WORDS...............LEO HII KABAKISHA RESERVE YA 3 MONTH EXPORTS 0.8 BILLION DOLLORS[THIS IS ACCORDING TO NAIBU WAZIRI WA FEDHA SUMARI ALIPOKUWA AKIWAONDOA HOFU WAFANYABIASHARA MOROGORO AKAJIKUTA AMETOBOA SIRI BILA KUJUWA KUWA PESA IMEBAKI YA MIEZI MITATU]...HAPO HATUJAFIKA MWAKANI...

NADHANI RAIS ATAKAYEKABIDHIWA NCHI NA KIKWETE IWE 2010 AU 2015.....ATAKUTA HAZINA HAKUNA KITU......KAMA MIAKA 5 TU AMEKOMBA PESA KARIBU YOTE ALIYORIDHI....BILA KUWEKA HATA PENNY....AKIBAKI MPAKA 2015.......ATAACHA NCHI NA MADENI TU BILA HATA AKIBA!!!!!

NASHANGAA WAANDISHI WANAPOKUTANA NAYE HAWAMUULIZI ...HAZINA YA TAIFA IMEBAKI NA AKIBA KIASI GANI?????? MBONA SIKU HIZI BOT HAWATOI RIPOTI YA HALI YA UCHUMI PUBLIC ...?? WANAFICHA NINI????...NI HAKI YA WANANCHI KILA BAADA YA MWEZI MMOJA AU MIEZI MITATU KUPEWA RIPOTI YA HALI YA UCHUMI...SIKU HIZI HATUPEWEWI ....WANAZIKALIA KWA NINI!!!????
 
Labda sura zao hazina mvuto. kwi kwi kwi!

wanamualika wa kwetu kwa kuwa wanajuwa hana ratiba...unaweza kumuita nytime ..cheap!!!..mbona kibaki au kagame hawaalikwi mara kwa mara..ina maana wao hawajuwi kazi???...mbona uchumi wao unakuwa kwa kasi bila ziara za ajabu aajabu...
 
Nenda JK nenda... who knows ... you may become the First President Of the United Countries Of Africa!
 
Mwacheni akaombe misaaada. Si unajua tena Economy crisis ya dunia serikali inabidi zitumie reserve. Sasa kama alikuwa na 0.8 inawezekana sasa hana kitu ckwa ajili ya ku-bust economy. Sasa si mnajua jinsi Botswana walivyo na reserve kibao, you never know anajalibu kukopa kuja kustimulate economy ya Bongo (JOKE!!!!!!!!!!!)
 
Mwacheni akaombe misaaada. Si unajua tena Economy crisis ya dunia serikali inabidi zitumie reserve. Sasa kama alikuwa na 0.8 inawezekana sasa hana kitu ckwa ajili ya ku-bust economy. Sasa si mnajua jinsi Botswana walivyo na reserve kibao, you never know anajalibu kukopa kuja kustimulate economy ya Bongo (JOKE!!!!!!!!!!!)


..na kweli kama hata reserve hatuna tena na miaka yote uchaguzi hadi tupewe misaada na nordic countiries kasoo 2000/2005 tulipomudu kugharamia wenyewe....mwakani sijuwi tutatoa wapi pesa ya uchaguzi na wazungu ndio wamekuwa wakitupa misaada ili tuchaguane...

msichanga mwakani tukakosa hata pesa ya uchaguzi ..itabidi tutumie mfumo wa spika ...wanaoafiki waseme .ndiooooooo..[ndioooooooo] wasioafiki waseme sioooooooo[siooooooo] ..ehee sauti zinalingana ...

haya kila mmoja akasimame mbele ya picha ya mgombea anayemtaka[hapo pole kwa wale waliokula pilau za watu....itabidi tu wasimame kwa waliowalisha]
 

wanamualika wa kwetu kwa kuwa wanajuwa hana ratiba...unaweza kumuita nytime ..cheap!!!..

Botswana wanasema kaenda ku chat na mwenyeji wake (hawajatoa agenda ya maongeni, ni kwamba hakuna mada maalum ) halafu akitoka hapo anaenda kufungua hospitali, kwisha.

Gaborone -The President of the United Republic of Tanzania His Excellency, Mr. Jakaya Mrisho Kikwete is expected to visit Botswana on the 23rd – 25th April, 2009. President Kikwete will during the visit hold official talks with His Excellency Lieutenant General Seretse Khama Ian Khama, President of the Republic of Botswana. The Speaker of the National Assembly Hon. Patrick Balopi and the Leader of Opposition Hon. Otsweletse Moupo will pay courtesy calls on President Kikwete. President Kikwete is also scheduled to officially open the Maun Referral Hospital.

mofaic-ban.jpg

 
mi najisikia kichefuchefu kabisa nikianza kuwaza mambo ya safari za mwenye kaya.....
 
Botswana wanasema kaenda ku chat na mwenyeji wake (hawajatoa agenda ya maongeni, ni kwamba hakuna mada maalum ) halafu akitoka hapo anaenda kufungua hospitali, kwisha.

Gaborone -The President of the United Republic of Tanzania His Excellency, Mr. Jakaya Mrisho Kikwete is expected to visit Botswana on the 23rd – 25th April, 2009. President Kikwete will during the visit hold official talks with His Excellency Lieutenant General Seretse Khama Ian Khama, President of the Republic of Botswana. The Speaker of the National Assembly Hon. Patrick Balopi and the Leader of Opposition Hon. Otsweletse Moupo will pay courtesy calls on President Kikwete. President Kikwete is also scheduled to officially open the Maun Referral Hospital.

mofaic-ban.jpg



kweli huyu mzembe ,hapa nyumbani hajafungua hata wala kukamilisha barbara moja ya maana zaidi ya hicho chuo dodoma,haoni aibu kwenda kuangalia wanaume wanavyofanza kazi
 
Mh Rais juzi jana mfanyabiashara maarufu nchini Mengi amesema jitihada zako za kuwapatia 'maisha bora Watanzania' zinakwamishwa na mapapa mafisadi wasiozidi 10 na amewataja baadhi yao. Je, una maoni gani kuhusiana na kauli hiyo ya Mengi?

Mimi sihusiki

Mh Rais je Serikali imeshafanya uamuzi wa kununua au kutonunua mitambo ya Dowans?

Mimi sihusiki

Mh Rais una habari yoyote kuhusiana na ulipofikia uchunguzi kuhusu ufisadi wa EPA uliofanywa kupitia Kagoda, Meremeta na Deep Greens?

Mimi sihusiki

Mh Rais je ni lini serikali ya itatoa maamuzi kuhusiana na kuuzwa mgodi wa Kiwira katika mazingira ya kutatanisha?

Mimi sihusiki

Mh Rais je ahadi zako za kupitia upya mikataba ya uchimbaji wa madini zimefika wapi?

Mimi sihusiki

Mh Rais wewe unahusika na nini basi?

Nadhani nahusika na safari za nje na kuongea na viongozi wa mataifa mengine lakini sina uhakika, ngoja nikamuulize Ros....
 
...safu ya viongozi kwenda kuaga msafara, kisha safu ya viongozi kwenda kupokea msafara!

...hili liinchi linazalisha nini cha kutufanya tuweze kutumbua namna hii hizi pesa za kujiombeleza kila kukicha?!!

Ni kama cinema ya Coming to America, King of Zamunda alipoenda kumwaga radhi New York, na Fisadi Mkapa nae akamwaga radhi Zurich. Wenyeji wanajiuliza kwenu mnazalisha nini, upatu?
i370_FisadiMkapaSafarini.jpg

 
...safu ya viongozi kwenda kuaga msafara, kisha safu ya viongozi kwenda kupokea msafara!

...hili liinchi linazalisha nini cha kutufanya tuweze kutumbua namna hii hizi pesa za kujiombeleza kila kukicha?!!

Hapo petroli na makulaji ya kumuaga si ajabu mabilioni yameanguka :(
 
Hapo petroli na makulaji ya kumuaga si ajabu mabilioni yameanguka :(

...Hakiyanani tena hii misafara ya Rais wetu, haswa hizi protocol zilizopitwa na wakati zinauzi mpaka basi tu... i get so angry i wish the whole gadayym thing could just blow up into ashes tujue moja.

...halafu hicho kindege wamekifanya kama AirforceONE! kinaparamia kila bara kila nchi utafikiri ni cha nchi inayozalisha mafuta!
 
...Hakiyanani tena hii misafara ya Rais wetu, haswa hizi protocol zilizopitwa na wakati zinauzi mpaka basi tu... i get so angry i wish the whole gadayym thing could just blow up into ashes tujue moja.

...halafu hicho kindege wamekifanya kama AirforceONE! kinaparamia kila bara kila nchi utafikiri ni cha nchi inayozalisha mafuta!

Protocal mbadala ya kumsindikiza raisi iwaje?
 
Protocal mbadala ya kumsindikiza raisi iwaje?

Mkuu natubu naweza kuwa sijui mbadala wa hiyo tuliyonayo hivi sasa sawasawa. Lakini nina uhakika mambo ya Mh. Shein na saafu nzima ya uongozi wa juu unapoenda kumlaki akiwa anaondoka na pale anapokuwa anarejea ni jambo ambalo linakula hela nyingi na linaweza kurekebishwa kwa kupunguza gharama zinazoonekana hivi sasa. Hii haijalishi umuhimu au laa wa safari anazoenda.
 
Back
Top Bottom