Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,767
Ndiyo Judgement can i help you ?
dah uko on time, yani exactly mid nyt ndo umeingia net... kwel airtel wanajitaid kusave ndoa za watu
Ndiyo Judgement can i help you ?
Natafutiwa utamu wangu mazee!
Kama wewe hutafutwagi means utamuless au umepitiliza muda best before....!
Eventhough hujachelewa ntafute nikukwingishe! Nao waliokubwaga watakurejea.
Changamka sasa fasta! Nakungwisha kwa kurisiti !
mekaa hapa roho hainipi kabisaa nkasema laahasha yabid niingie humu maana my judgement sijawasiliana nae leo saana kwakweli sasa wale mliokuwa mnajifanya mnamkeep busy baasi mwenye mali ndo nshatua maana nilikuwa nahisi kama kuna vibaka. Za jioni lakin jaman
enh wewe yan Erickb52 anakutaftia utam wako.!!?
Kama unajiamini anza kusubutu, mie natoka Bagamoyo mazee! Hata ukijaribu denda tu, ni mkwamano! Au nakuteremsha kiazi , uwe umejiandaa kuzigawa Jeens zako zote! Kwani hakuna itakayokutosha! Ni koi kwa kwenda mbele.
Mzee wa mia. Umerudi? Miss u...
Karibu tena....
Bado mzee wa nalogoff sijui atafunguliwa lini....
Karudi mkuu, sijui frm Segerea? Sababu aonekana kaja na kilalo cha kufa mtu!
Kinachompitia mbele anakiparamia!
Asione mstari wa kabati ! Anahemkwa!
Tatizo hazungumzi shida zake tumtafutie mapoozeo!
asie kuwepo na lake halipo. njoo kwangu mpenzi wangu nakuita.
mtu mwenyewe hajatulia. nmemkuta akirorororo na visichana vingine. yana vimemkeep busy kinoma halafu anasema eti kakuweka kiganjani. karibu. Mia
asie kuwepo na lake halipo. njoo kwangu mpenzi wangu nakuita.
mtu mwenyewe hajatulia. nmemkuta akirorororo na visichana vingine. yana vimemkeep busy kinoma halafu anasema eti kakuweka kiganjani. karibu. Mia
valu valu maana yake wasiwasi?
i love that song
hawa kopoz mbona siwaoni jamani... wapi beibe nasty na mzigo wako wa miba(judgement).!!!
My sweet hubby..
My sweet hubby..
Haaaa we figganigga ulienda wapi?
Heheheee mistari yako ni sooo soooft yani hainitetemeshiiii daah sijui hata lin ntaja coz my jg ndo kilakituuuu
My sweet hubby..
Masikin pole inavoonyesha unausongo duuh bas tena mie nshazimika kwa jg full stopMi siku zote mistari yangu hata kama ni migumu utaiona soft. Ukiona hivyo jua moyo wako ushanipenda bado akili yako tu kidondokea. sasa inakuwaje? kuwa wangu baby. mia