Valentines Special Thread 2017

Ndo umesemaje sasa apo?

espy hebu ukuje fasta mkalimani wangu
 
Will you love me again like you loved me before?
this time I want you to love me much more...
this time instead just come to my bed
and baby just don't let me doooown
you know me well, i can not let you down kabisa.
Believe me.
 
3.Love is love asee.Nawaza tu.
 
Dooh!.nadhani watu wameshazoea,maana cku izi hawawazi kabisa kua heart broken labda stunter na valentina ndo hawajazoea.
haaaa, umesema Stunter na nani?

Niombe msamaha haraka.

STUNTER bby umeanza lini tena na Valentina?
 
yaan hubby niambie tu ukweli wewe na Vale mna mpango gani? naomba maelezo kwa maandishi.
Hatuna uhusiano wala mpango wowote, labda itokee tu... Valentina alitaka nimuazime chaja yangu ya simu. Tatizo nikimwazima anachelewa sana kuirudisha, kwahiyo nimemnyima. Mashahidi zangu ni Bonny na Raimundo

Hii ndio kisa na mkasa... au unasemaje mama, nimwazime au umeridhika na utetezi wangu??
 
naomba unieleze kwanza itokee nini? nitakujibu baada ya hapo
 

Ha ha ha, huu utetezi mi naomba nije nitoe ushahidi baada ya kuona Bonny alichosema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…