Valentines Special Thread 2017

Binamu shukrani sana, Happy Valentine's day to you too ila angalia usigonganishe magari, maana wewe nae umo
Binamu nyama ya hamu... Hehehe usinikose katika umalkia wako
 
Ngoja mie nikae pembeni, jana tu nimeumizwa moyo wangu, wala sina muda kabisa, bora nichape kazi kwa kwenda mbele.
 
Ngoja mie nikae pembeni, jana tu nimeumizwa moyo wangu, wala sina muda kabisa, bora nichape kazi kwa kwenda mbele.
Dooh,Moyo husukuma damu tu.Anyways,kama bado unauma meza panadol.Maumivu yakizidi muone daktari.Natania tu!.That z love bruh!.broken bt we still have to,hatuna namna.
 
Ha haa mwenzangu heri kulia kwenye range bajaji namwachia kui
 
Mimi ndio bado nampanga mama la mama nanihiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…