Valentine's day special greetings Zone


Mzee mwenzangu haka kasiku wala hata sikaelewagi. Ila kama yatupasa nasi twende kwa wakati. Basi acha nami niwatakie siku njema kama ifuatavyo.

Baba na mama yangu
Mke wangu na wanangu
Kaka zangu na dada zangu
Majirani zangu
Ndugu jamaa na marafiki
Maadui zangu.

Pia kwa heshima ya pekee wana JF wote hasa wazee wenzangu na wajukuu zangu.

Mwisho bila kuzingatia umuhimu, wale wote walionitaja humu kunitakia heri.

Na walaaniwe wote wanijuao humu lakini hawajanimenshen, iwe kwa makusudi au bahati mbaya japokuwa nawatakia kifo chema sana. Nawaahidi mabinti kuwa ntawarithi. ikitokea wanaume zao wakifa, (si kwa kifo kilichosababishwa na kuugua kwa muda mrefu) na vidume ntavisaidia kuwari thi wanawake zao.

Muwe na siku njema watu wa Mungu.

Samahani kama nimewakwaza.
 
Last edited by a moderator:
Kakajambazi yuko wapi na matola nataka nione waliowaandikaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…