Vale Nafaka binti mrembo anayeuza Nafaka

Vale Nafaka binti mrembo anayeuza Nafaka

Uyu dada namuonaga kama anafanyaga biashara mbili, najua ushanielewa
Unaogopa kusema nini mkuu? Sema...
Huyo anauza Kumah kimtindo ...Iko wazi...na Hawa mannyangumi yanayouza bandari wakipata pesa za ufisadi ndio hua wanaenda kutumia na Hawa Hawa malaya ..huyo hatachukua raundi atapewa ukatibu mkuu au ukuu wa wilaya
 
Nilikuambia wewe una tatizo la ugonjwa wa akili ...nenda hospitali ukatibiwe kabla Hali haijawa mbaya zaidi.
Huo ugonjwa unao kusumbua, kushobokea watu, dawa yake ni upakwe mafuta ya p didiy, alisema mganga mfawidhi


Fullstop, kwishaaaa
 
Ama kweli uzuri wa kitu upo ndani ya macho ya muonaji..... Binafsi naheshimu sana mawazo ya mtu mwingine lakini Kwa heshima zote bila kutafsirika vibaya na heshima yangu kubwa Kwa wanawake Kwa upande wangu ni mwanamke tu wa kawaida mwenye asili ya unene
 
Ama kweli uzuri wa kitu upo ndani ya macho ya muonaji..... Binafsi naheshimu sana mawazo ya mtu mwingine lakini Kwa heshima zote bila kutafsirika vibaya na heshima yangu kubwa Kwa wanawake Kwa upande wangu ni mwanamke tu wa kawaida mwenye asili ya unene
Nafaka ni QRCode name anaitwa Valentino MOI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom