kweli mahaba nivuruge kama kimbunga, watu wana moyo aya kumbe umependa coments zake, ngoja sasa umuone. ila umevumilia sana inaonekana umesoma coments zake ukabidi ujiunge jana na ueleze hisia zako, halafu una mkwara eti upo serious au series nyingne?
Hongera Vaislay,,naamini utakuwa mke mwema!!Ila yule jamaa aliyeuliza kama ni 7.5mm urefu wa kutoka Dar mpaka Moro kaniacha hoi,itabidi baada ya ndoa uje kutupa mrejesho!!
Ukiona hivyo jua nakutakia mema,''akili za kuambiwa changanya na za kwako"!Na sio kila ving'aavyo ni dhahabu pia mshike vema akupandaye ndiyo dhahabu hiyo vinginevyo you may wake up in the morning and realize that you have lost diamond while you were too busy collecting stones!!