zakayohabeli
Member
- Aug 14, 2019
- 58
- 25
- Thread starter
- #21
Asante mkuu ila hio ic sijajua ni ya aina gan maana haionekan
Soma kuhusu BOOST CONVERTER .Mkuu nahitaji mchoro au anaelewa namna ya Ku boost DC to DC
Mfano 12v boost to 40vdc
Msaada tafadhal
Hii madukani ipo MKuu kwelii
Habari mkuu zakayohabel.Hata iwe single au double supply haina shida ila tu iingize 12vdc na itoe 40vdc lengo langu nataka niitumie kwenye sound ya transistor mfano hio hapo juu inatumia 40v na mimi nataka niitumie kwenye betrii ya solar yaan ya 12v dc
Msaada mkuu kama una mchoro wa DC to DC boost
Kifupi ni kwamba kanuni ya nishati itasimamia huo mchakato (Law of conservation of energy) lazima izingatiwe..Wakuu tujadili na kusaidiana kuhusu kutumia voltage ndogo katika miziki mikubwa, yaani namaanisha Power amplifier kwa v12. Najua itakuwa ngumu lakini lengo langu ni kuiboost dc v12 kuwa v40
Wakuu tukiweza hili itakuwa vizuri sana.
Msaada kwenu tafadhali
Asanteni.
View attachment 1248593
Kifupi ni kwamba kanuni ya nishati itasimamia huo mchakato (Law of conservation of energy) lazima izingatiwe..
Ili kupata power kubwa kutoka kwenye 12V basi utahitaji kuwa na Current kubwa sana mfano 20Ampere , ili jumla ya power ya umeme wako iwe takriban 240W. Ili uweze kupata amplifier itakayotoa Watts takriban 200W.
...
Utahitaji kuwa na step up circuit ya kubadilisha hiyo 12V, 20A kuwa arround 40V na current itashuka hadi 5A. Yote hayo utayafanya kwa kutumia transformer chocheo. (Ukipandisha Voltage, current inapungua).
Halafu sasa hizo 40V ndio zitalisha Amplifaya yako kama input power.
Habari mkuu zakayohabel.
Njia rahisi ni kuunda Voltage Inverter ambayo ita.boost 12VDC kuwa 40VAC, na una-rectify kuwa either ya single voltage(40V) au dual voltage(+-40V), kutegemea utakavyosuka transformer yako, mchezo unaisha.
Nakutakia kila la heri katika jitihada zako za ubunifu.
Umewahi sikia mziki wa gari,, ushawah wonder why magari yana mziki mkubwa sana kuliko wa majumbani na vi pub mchwara? Je zinatumia nn unavosema zitakuwa na mziki mdogo haya current inapungua at higher volt but maths is the same 20v times 2A is equal to 40w and 10v times 4A is equal to 40w ..umeona sasa ....Unatakiwa obey kanuni ya P=IV
Pili sioni tija ya kutumia DC boosters ukizingatia power amplifier zahitaji current zaidi ili kuwa na nguvu zaidi ndio maana nikaorodhesha P=IV
Tatu unapo boost voltage kutoka 12V kwenda 40V current itakuwa ndogo sana hivyo amplifier yako itakuwa na uwezo mdogo sana.
Kama alivyoshauri mdau hapo juu ni bora utengeneze Power supply yako tafuta transformer unda bridge ckt utapata hizo 40V unazotaka.
Nisaidie huo mkuukuna mchoro rahisi wa capacitor na diode hata ukitaka volt 100 dc toka kwenye 12Ac inawezekana
Mzee hujaelewa tunachokiongelea ....huu mchoro si wa power supply ya kawaida kabisaView attachment 1661854
mkuu jaribu huo mchoro
Kama hautafanya kazi jaribu kuweka kiungo kwenye hizo points * na *
Pia Capacitor tumia kuanzia Volt 18 Micro farad 100 na kuendelea
Mzee hujaelewa tunachokiongelea ....huu mchoro si wa power supply ya kawaida kabisa
Nan kasema?? Kwan hamna itakuwa na uwezo mdogo unaeza boost 12vdc to 50v dual or more na uwezo ukawa 1000w sasa tu assume tumetumia mosfet mbili tu irfz44n hapo zinaeza toa 180w bila tatizo lolote sasa hizo ni kidogo ??Unatakiwa obey kanuni ya P=IV
Pili sioni tija ya kutumia DC boosters ukizingatia power amplifier zahitaji current zaidi ili kuwa na nguvu zaidi ndio maana nikaorodhesha P=IV
Tatu unapo boost voltage kutoka 12V kwenda 40V current itakuwa ndogo sana hivyo amplifier yako itakuwa na uwezo mdogo sana.
Kama alivyoshauri mdau hapo juu ni bora utengeneze Power supply yako tafuta transformer unda bridge ckt utapata hizo 40V unazotaka.
Soma post yake ueleweView attachment 1661854
mkuu jaribu huo mchoro
Kama hautafanya kazi jaribu kuweka kiungo kwenye hizo points * na *
Pia Capacitor tumia kuanzia Volt 18 Micro farad 100 na kuendelea