zakayohabeli
Member
- Aug 14, 2019
- 58
- 25
Wakuu tujadili na kusaidiana kuhusu kutumia voltage ndogo katika miziki mikubwa, yaani namaanisha Power amplifier kwa v12. Najua itakuwa ngumu lakini lengo langu ni kuiboost dc v12 kuwa v40
Wakuu tukiweza hili itakuwa vizuri sana.
Msaada kwenu tafadhali
Asanteni.
Wakuu tukiweza hili itakuwa vizuri sana.
Msaada kwenu tafadhali
Asanteni.
