lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,710
- 3,392
Yaan huwa nashangaa mno halafu na ule msuruali mkubwa +shati likuuuubwa....fesheni nyingine acha zinipite ..
Ndo maana ake.Kama yale ya jux na marioo
Du!noma sana aisee😳Aisee hiyo ni designer brand bei ya original inatisha sema vijana wanavaa feki ili kufeki maisha waonekane ni matawi ya juu nafikiri ujasiri wa kukivaa ndio unaanzia hapo
View attachment 3021711
Hakika umenena ndugu yangu!Kila kitu na wakati wake na umri, mengine tuwaache tu wadogo zetu.
😄😁Wanavalia na majinsi makubwa sana.. pigo za financial services
Naunga mkono hoja mkuu💯Yaan huwa nashangaa mno halafu na ule msuruali mkubwa +shati likuuuubwa....fesheni nyingine acha zinipite ..
😀 😀 wewe ni ndugu yake bhansakile?Hakika umenena ndugu yangu!
Ukilikuta tandika linauzwa huta amin iyo bei
Kwel kaz na umr m siwez hata kuliweka bafun liwe la kuogea




