The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Kuna trend imezuka ya Chadema Kwa makusudi kuamua kuwapotosha Wananchi wasio na uelewa kwamba Uwekezaji ni wizi,kugawa rasilimali za Nchi au kuuza Nchi.
Tabia hii ni mbaya sana kwenye ulimwengu wa biashara na Uchumi na inafanya wawekezaji wawe na mashaka na sera za biashara na Uchumi za Nchi.Aidha wafanyabiashara wanakuwa na mashaka na mwelekeo wa Kisiasa wa Nchi kama inasimamia sera za Kijamaa au sera za soko huria.
Uwekezaji uko Dunia nzima na Tanzania Tukianza huo uwekezaji baada ya sera za ujamaa wanazohubiri Chadema Sasa hivi wakimtolea mfano Magufuli kama mlinzi wa Rasilimali za Nchi.
Magufuli was there,Kwa miaka yake yote 6 Mamilioni ya watu walirudi kwenye umaskini huku Serikali Ikichukua hatamu Kwa Kila kitu.
Hakuna sekta ya uchumi hata Moja ilikuwa na Afya awamu ya 5 kuanzia Kilimo,Ardhi na nyumba, biashara na uwekezaji Hadi Huduma za jamii zote zilikwenda chini na watu walikuwa wana starve,Chadema wanajua vizuri hili.
Kwa Sasa Nchi inapokea maelfu ya wawekezaji kwenye sekta zote kuanzia Kilimo Hadi majengo,viwanda Hadi Utalii ila vyote hivi Chadema wanawaambia watu kwamba Serikali inauza na kugawa Mali zao huku hao Wananchi hawanufaiki Kwa lolote na hapa wanawataja kabisa wanasema Waarabu.
Ukiacha kwamba ni Ubaguzi wa msingi wa rangi ambao wanamhusudisha Rais ila hii ni mbaya sana Kwa Nchi ambayo ndio imeanza kupata nafuu ya Kiuchumi kutokana na Hali mbaya.
Kama Chadema hamtaki Uwekezaji mbona hamsemi namna gani maelfu ya Vijana wanaomaliza vyo watapata kazi? Kama hamtaki Uwekezaji mnategemea Serikali itatoka wapi pesa za Kuendesha Nchi? Kama hamtaki Uwekezaji nyie kama Chadema mnataka nini au mnawasaidiaje Wananchi?
Nawakumbusha tuu Machadema kwamba hakuna rasilimali ambayo Tanzania inayo haipatikani kwingine kwamba Dunia itababaika saana na Tanzania.Kwa swala la uwekezaji ni ushindani Dunia nzima na huko kwenye ushindani sio tuu Baadhi ya Nchi zinawapa wawekezaji Ardhi Bure Bali wanawapa tax holidays za miaka na mfano mzuri ni Rwanda, Ethiopia nk hapo.
Mwisho kulaumu Serikali na kupotosha Umma Kwamba Serikali inagawa Mali Kwa wawekezaji sijui inatoka wapi,Wakiwa Watanzania matajiri ni shida ,Wakiwa Wageni ni shida.Kuna mwekezaji hata mmja ambae halipi Kodi Tanzania hapa au amepata Ardhi bila Kufuata taratibu? Tusilazimishe madaraka Kwa upotoshaji.
My Take
Nawakumbusha watu Hawa wanaosema Nchi inauzwa watakapokuwa kwenye madaraka wao na familia zao hakuna shida watapata wakati maelfu ya watu wa kawaida Wakiwa wanapata shida na ni wakati huo watakuwa wanawasingizia Mabeberu.
Kama hizi ndio Sera za Chadema hapo hakuna Watu,Kuna matapeli wa Kisiasa.
Tabia hii ni mbaya sana kwenye ulimwengu wa biashara na Uchumi na inafanya wawekezaji wawe na mashaka na sera za biashara na Uchumi za Nchi.Aidha wafanyabiashara wanakuwa na mashaka na mwelekeo wa Kisiasa wa Nchi kama inasimamia sera za Kijamaa au sera za soko huria.
Uwekezaji uko Dunia nzima na Tanzania Tukianza huo uwekezaji baada ya sera za ujamaa wanazohubiri Chadema Sasa hivi wakimtolea mfano Magufuli kama mlinzi wa Rasilimali za Nchi.
Magufuli was there,Kwa miaka yake yote 6 Mamilioni ya watu walirudi kwenye umaskini huku Serikali Ikichukua hatamu Kwa Kila kitu.
Hakuna sekta ya uchumi hata Moja ilikuwa na Afya awamu ya 5 kuanzia Kilimo,Ardhi na nyumba, biashara na uwekezaji Hadi Huduma za jamii zote zilikwenda chini na watu walikuwa wana starve,Chadema wanajua vizuri hili.
Kwa Sasa Nchi inapokea maelfu ya wawekezaji kwenye sekta zote kuanzia Kilimo Hadi majengo,viwanda Hadi Utalii ila vyote hivi Chadema wanawaambia watu kwamba Serikali inauza na kugawa Mali zao huku hao Wananchi hawanufaiki Kwa lolote na hapa wanawataja kabisa wanasema Waarabu.
Ukiacha kwamba ni Ubaguzi wa msingi wa rangi ambao wanamhusudisha Rais ila hii ni mbaya sana Kwa Nchi ambayo ndio imeanza kupata nafuu ya Kiuchumi kutokana na Hali mbaya.
Kama Chadema hamtaki Uwekezaji mbona hamsemi namna gani maelfu ya Vijana wanaomaliza vyo watapata kazi? Kama hamtaki Uwekezaji mnategemea Serikali itatoka wapi pesa za Kuendesha Nchi? Kama hamtaki Uwekezaji nyie kama Chadema mnataka nini au mnawasaidiaje Wananchi?
Nawakumbusha tuu Machadema kwamba hakuna rasilimali ambayo Tanzania inayo haipatikani kwingine kwamba Dunia itababaika saana na Tanzania.Kwa swala la uwekezaji ni ushindani Dunia nzima na huko kwenye ushindani sio tuu Baadhi ya Nchi zinawapa wawekezaji Ardhi Bure Bali wanawapa tax holidays za miaka na mfano mzuri ni Rwanda, Ethiopia nk hapo.
Mwisho kulaumu Serikali na kupotosha Umma Kwamba Serikali inagawa Mali Kwa wawekezaji sijui inatoka wapi,Wakiwa Watanzania matajiri ni shida ,Wakiwa Wageni ni shida.Kuna mwekezaji hata mmja ambae halipi Kodi Tanzania hapa au amepata Ardhi bila Kufuata taratibu? Tusilazimishe madaraka Kwa upotoshaji.
Mbowe, Lissu: Rais Samia amegawa Maliasili za Taifa bila Bunge kushirikishwa
- Baada ya Bandari, sasa atuhumiwa kugawa raslimali nyingine kwa Wageni Na Mwandishi Wetu, Shinyanga WAKATI sakata la "Mkataba wa Bandari" likizidi kupamba moto, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo kimemtumbukiza rasmi Rais Samia Suluhu Hassan, kwenye kashifa nyingine kubwa...
www.jamiiforums.com
My Take
Nawakumbusha watu Hawa wanaosema Nchi inauzwa watakapokuwa kwenye madaraka wao na familia zao hakuna shida watapata wakati maelfu ya watu wa kawaida Wakiwa wanapata shida na ni wakati huo watakuwa wanawasingizia Mabeberu.
Kama hizi ndio Sera za Chadema hapo hakuna Watu,Kuna matapeli wa Kisiasa.