minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Mkuu huwa nakuelewa mno.
Hata Mimi natamani ostadhi aiende kwa wito wa dharau.
Njia pekee nzuri ni CAG kutokwenda huko kwani akienda atakuwa kakiuka sheria na katiba na pengine wamemtega akibali kwenda kisha atengenezewe Zengwe wamfukuze kazi kisha wambambikie kesi kibao kama kawaida yao