howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 248
- 413
No thank youKwahiyo hata kipindi tuna balehee zile ndoto nyevu nao wana jini mahaba siyo
No thank youKwahiyo hata kipindi tuna balehee zile ndoto nyevu nao wana jini mahaba siyo
Hata mimi huu mstari huwa unanifikirisha sana mkuu.Yesu alisema "kila amtazamaye mwanamke na kumtamani moyoni mwake amekwisha zini naye"
Haya tuambie wanaume wote tutakufa kwa dhambi ya uzinzi?
Kwani huyo jini mahaba Ana chagua umriNo thank you
Kuna watu humu nao wataniambia kuwa kunywa pombe ni dhambi ....
Wanaume tutapona kweli?
Ame pigwa kwenye mshonoMalaya mmeguswa pabaya
Kama umen'goa macho sawa utaenda mbinguni, ila kinyume na hapo jehanamu ni makao yako yajayoAahh...mimi tena
Mi kwa yesu moja kwa moja kama iviii
👇👇👇👇
Tutapona katika jina la Yesu.Wanaume tutapona kweli?
...ni kweli, uzinzi ni dhambi na chukizo kubwa sana kwa Mungu lakini haijatajwa kuwa ni dhambi mojawapo y kumkufuru Roho Mtakatibu sababu inasameheka kupitia Maungamo kwa Padre ila Dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu mfano Dhambi za Kuua au Kudharau na Kukashifu Ekaristi Takatifu Hazisameheki. All in All Hii Dhambi ya Uzinzi inatukosesaha Mema Mengi Kutoka kwa Mungu.Uko sawa lakini kwenye hiyo "dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu" umetupiga!
Unampenda yesu ama Yesu?Mi mwenyewe nampenda yesu..😊
No thank you
Hapana,haina uhusiano na umri,kitu cha kufahamu ni muendelezo wa kile kinakutokea kwenye ndoto,ndoto nyevu kisayansi inahesabiwa kama hatua ya kukua kwa kijana wa kiume ambayo kihalisia unaweza kuota umeamka sperms zimetoka ni sawa na binti kuanza kuona siku zake mara ya kwanza.Kwani huyo jini mahaba Ana chagua umri
Yesu alisema "jicho lako likikupeleka kubaya lin'goe, je umefuta ushauri wa Yesu?Tutapona katika jina la Yesu.
Hakuna neno linaloshindikana kwa Mungu-Luka 1:37.
Nafikiri kuna haja ya kuzungumzia dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu,hapa....ni kweli, uzinzi ni dhambi na chukizo kubwa sana kwa Mungu lakini haijatajwa kuwa ni dhambi mojawapo y kumkufuru Roho Mtakatibu sababu inasameheka kupitia Maungamo kwa Padre ila Dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu mfano Dhambi za Kuua au Kudharau na Kukashifu Ekaristi Takatifu Hazisameheki. All in All Hii Dhambi ya Uzinzi inatukosesaha Mema Mengi Kutoka kwa Mungu.
Kama jini naweza hata kuongea naye na nimzuri .... kwani we jamaa kama unapata utelezi wa bure bila usumbufu unataka nini tena mkuu .... kwenye haya maisha niunganishe na huyo jini ... mademu wakibongo wamesha nichosha kila siki virunguHapana,haina uhusiano na umri,kitu cha kufahamu ni muendelezo wa kile kinakutokea kwenye ndoto,ndoto nyevu kisayansi inahesabiwa kama hatua ya kukua kwa kijana wa kiume ambayo kihalisia unaweza kuota umeamka sperms zimetoka ni sawa na binti kuanza kuona siku zake mara ya kwanza.
Kwa mwanamme should not re-occur.
Jini mahaba ni story tofauti ukisikia shuhuda,mpaka sura ukimzoea unaweza kupiga naye mpaka story mkuu.Lakini ukiota ndoto hiyo pia inaweza kuwa ni sign fulani kwako,inapojirudia inahama inakuwa kitu kingine Cha kuchukua hatua.
Yesu alisema "jicho lako likikupeleka kubaya lin'goe, je umefuta ushauri wa Yesu?
Utapona ikiwa umefuata maelekezo ya Mshauri wa Ajabu, kinyume na hapo huponi mkulugwa![]()


Hakika mkuu, ipo haja hiyo.Nafikiri kuna haja ya kuzungumzia dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu,hapa.
Acha mizaha mkuu, ni dhambi pia (Zaburi 1:1-3).Kama jini naweza hata kuongea naye na nimzuri .... kwani we jamaa kama unapata utelezi wa bure bila usumbufu unataka nini tena mkuu .... kwenye haya maisha niunganishe na huyo jini ... mademu wakibongo wamesha nichosha kila siki virungu
watajitunza lakin vijana tutashindwa kumudu hio 10mil mwisho wake mabinti watajiachia ili waolewe kirahisHii ni ili wazazi wajitume zaidi katika kuhakikisha watoto wao wa kike wanakuwa sio breki pumbuz.
Its a virtue being virtuous and should be dully rewarded!
Dhambi ya uzinzi ina hatua,lazima uone,utamani,ufanye.