howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 248
- 413
iMkuu, kwanza nikushukuru sana kwa mchango wako mzuri. Kabla sijakufata PM na kwa faida ya wengine pia, naomba uziweke hapa njia za kuniwezesha kushinda. Tafadhali sana...
Ni vizuri tuelewe hakuna njia za kibinadamu zinaweza kumsaidia mtu ku-stain asizini, itakuwa ni kwa muda tu anaweza kujizuia, lakini sometimes somewhere atajikuta amezini tena na tena.vizuri tuelewe hakuna njia za kibinadamu zinaweza kumsaidia mtu ku-stain asizini,itakuwa ni kwa muda tu anaweza kujizuia sometimes somewhere atajikuta amezini tena.So hizi ni spiritual merchanisms as per the Bible na nyingine ni Yesu mwenyewe amesema:
So these are Biblical and spiritual merchanisms na nyingine Yesu mwenyewe amesema:
1. Kubali kuwa totally transformed or renewed (spiritual, your soul that is your mind and emotionally,and your flesh).
Waefeso 4:23-24 Na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; 24.Mkavae utu mpya,ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli.
2. Neno la Mungu likae kwa wingi ndani yako.
Zaburi 119:11 Moyoni mwangu nimeliweka neno lako,nisije nikakutenda dhambi.
- Yesu alimshinda shetani kwa neno alipokuwa duniani. Mathayo 4:7 Yesu akamwambia,tena imeandikwa.....
3. Litii neno la Mungu kwa kuishi sawa na neno lake linavyosema.
Zaburi 119:9 Jinsi gani kijana aisafishe njia yake?Kwa kutii,akilifuata neno lako.
4. Kubali kuongozwa na Roho wa Mungu,kama hujajazwa Roho Mtakatifu muombe Mungu akupe hicho kipawa.Ni vigumu sana kushinda tamaa za mwili bila nguvu ya Mungu ndani yako through his Holy spirit.
Wagalatia 5:16 Basi nasema,Enendeni kwa Roho,wala hamtazitimiza KAMWE tamaa za mwili.
17. Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho,na Roho kushindana na mwili,kwa maana hizi zimepingana hata hamwezi kufanya mnayotaka.
Ukisoma miatari inayofuatia yametajwa matendo ya mwili ikiwepo uzinzi.
5. Usimpe Ibilisi nafasi,kihalisia shetani hana nguvu juu yetu ni mpaka tumempa nafasi hata kama ni ndogo kiasi gani ataleta madhara. Waefeso 4:27
6. Be prayerful
Marko 14:28, Mathayo 26:41 Kesheni muombe msije mkaingia majaribuni,roho i radhi lakini mwili ni dhaifu.
1 Wathesalonike 5:17 Ombeni bila kukoma.
Luka 22:40,46 Alipofika mahali pale aliwaambia,Ombeni kwamba msiingie majaribuni.
- Kama Yesu alifunga,akakesha akiomba, akiwa duniani.Sisi ni nani tusifanye hivyo?
7. Usiifuatishe namna ya dunia hii kama maandiko yanavyotuonya,wala msiifuatishe namna ya dunia hii.Ishi maisha matakatifu,
Biblia inasema watakatifu walioko duniani ndio waliobora ndio ninaopendezwa nao,kumbe duniani wapo watakatifu na inawezekana kuishi maisha matakatifu as per God himself, there is inability Divine power to make it through,and by His tender mercy He makes happening.What is impossible to us for Him is possible.
