- Thread starter
- #41
kosa si kosa, kosa kurudia kosa kweli nimejifunza^^
Usijali,,madam umejifunza jitahidi kutorudia kosa.
^^
kosa si kosa, kosa kurudia kosa kweli nimejifunza^^
Usijali,,madam umejifunza jitahidi kutorudia kosa.
^^
Duh weka hata paraghaph nimepata sana shida!!!!!!!!!!
Ndio mkome kuparamia wakina binam na genye mshindo zenu......
Leyla ukamkosa na ela ya shule ukakosa pia........KAZANA NA SHULE KIJANA........
yah! nadhani watu wamepata fundisho kiasiHadithi yako nzuri na inafundisha mtafute shigongo akupe page uwe unatunga nyingne maana una kipaji cha utunzi big up kijana
Atakuwa alikuwa anaosha vyombo nje.... Lakini lojiki na probabilite zinakataamaana walifanya pale Sebuleni kwenye Meza ndo walikuwa wanangonoka...........
au dada wa kazi alikuwa kaenda Sokoni..........
Kosa ni kosa ukirudia ni makusudi sasa...kosa si kosa, kosa kurudia kosa kweli nimejifunza
hahahahaa! Unasema anipongeze tena wakati kaniona na binti yakemjomba amekukubali kiaina ila anazuga tu.
subiri hasira zimuishe ila kwasasa anakupongeza moyoni.
hahahaha...dah! pole sana arif...atleast uliambulia mgegeduo
halafu Himidini hayo mapenzi ya haraka haraka hivyo nimekupenda na mimi nimekupenda mshamaliza mambo na mnaanza kufanya mambo duh mbona majangaa
na inaelekea hata zana hakukumbuka maana katoka tuu kumwagilia bustani mbio kwenda kuanza mchezo sijui kama dhana zilikumbukwa
Atakuwa alikuwa anaosha vyombo nje.... Lakini lojiki na probabilite zinakataa
Kwa Enzi zetu; kijana KAKOSA MWANA NA MAJI YA MOTO....
ni kweli ni fundisho kwa wenginePole na iwe funzo na ndio uislam ukakataza
^^
Ha ha ha WAPENI VIJANA HAKI YA KUKUA na KUJIFUNZA KUPITIA MAKOSA YAO WENYEWE,,maana wakisimuliwa hawaelewi.
^^
Duh weka hata paraghaph nimepata sana shida!!!!!!!!!!
Ndio mkome kuparamia wakina binam na genye mshindo zenu......
Leyla ukamkosa na ela ya shule ukakosa pia........KAZANA NA SHULE KIJANA........