SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Ohooooo!Bikra ipi?
Ohooooo!Bikra ipi?
Nije sasa
Nimefanikiwa moja na ndo mke wangu na nimejua kuwa bikra usiku wa kwanza wa ndoa yetu. Kwasababu sikuwahi kumgegeda kipindi chote cha uchumba mpaka tumeoana ndo nikafungua zawadi yangu. Sitegemei kumuacha kwakweli zaidi ya hapo nataraji kuongeza mke wa pili lakini sharti awe single mother (jimama) mwenye mpododo wa kutosha.
Sawa kishingo upandeOfa ishachukuliwa mkuu
Yani hapa natamani mpaka pochi lako nilifunue nipime size yake.Kweli hamtoshekagi mkuu bikra umepewa lkn uchakataji unaendelea
Jiandae kisaikolojia na wako atakuja kutolewa
Sawa kishingo upande
Yani hapa natamani mpaka pochi lako nilifunue nipime size yake.
Nimefanikiwa moja na ndo mke wangu na nimejua kuwa bikra usiku wa kwanza wa ndoa yetu. Kwasababu sikuwahi kumgegeda kipindi chote cha uchumba mpaka tumeoana ndo nikafungua zawadi yangu. Sitegemei kumuacha kwakweli zaidi ya hapo nataraji kuongeza mke wa pili lakini sharti awe single mother (jimama) mwenye mpododo wa kutosha.
Nimefanikiwa moja na ndo mke wangu na nimejua kuwa bikra usiku wa kwanza wa ndoa yetu. Kwasababu sikuwahi kumgegeda kipindi chote cha uchumba mpaka tumeoana ndo nikafungua zawadi yangu. Sitegemei kumuacha kwakweli zaidi ya hapo nataraji kuongeza mke wa pili lakini sharti awe single mother (jimama) mwenye mpododo wa kutosha.
Nitulize na kipochi chako mkuu. Nakuahidi sitahangaika tena kutafuta vipochi. Bila shaka utakuwa kitulizo pekee ndani ya moyo wangu. Fanya hima ikiwezekana njoo pm.Vipochi havitokuacha salama