Mkuu Mshana tukumbushane hapa,
Mkuu Mshana tukumbushane hapa,
"Huu uzi wa vyakula tu"
Ww umeuanzisha.
Tokea mwanzo ukaweka panya kwenye mkate nikakosoa,
Kuna wengine wakaweka mende na wadudu wa ajabu nikakosoa,
Sasa tena umeanza kuweka wanyama wa ajabu miguu ya kenge ,mijusi, mnakula kwenu huko?
Panyabuku?Mamba,Nyau pori,
Nyoka
Uliona wapi mtanzania anakula hao wadudu?
Mbona vyakula vingi tu vipo vya kawaida tu.
Uzi umeanzisha mwenyewe unaharibu mwenyewe,
Hapa watu tunakuja na njaa zetu kuja kula,
Hayo matakataka huwa unaweka yaani unatukata stimu kabisa.
Ujinga gani huu unafanya?
Weka hata makande pls,
Sasa njaa yangu yote imekata kwaajili ya wewe umeweka picha mchuzi limguu la mnyama gani sijui,
Inatia kichefuchefu.
Hapa Chakula nashindwa kula tena,upuuzi gani huu.
Yap medium-rare please
Maneno ya Lidl.....SilverCrestView attachment 2803377
Nataka kununua hiii kampuni gani nzuri jamani???
Haya Ninja Mbona sijayaona yanapatikana kwa nani?Maneno ya Lidl.....SilverCrest
Hiyo pia ni nzuri na bei pia ni rafiki
Lakini kama una mkono mrefu unaweza nunua brand ya Ninja...ambayo kwa sasa ndio habari ya mjini
View attachment 2803480
View attachment 2803482
Naam! Chachandu flani hivi au Mbilimbi yenye kapilipili hivi
Mpk naogopa kuingia huko,huyu mpare sijui anafikiria nini?vyakula vingi sana tunavyo hata magimbi weka.
Kwa kweli huo mguu unatisha
Wenye kinyaa Cha karibu wanaweza rudisha chenji
Hizi ziko kwenye mitandao ni ghali sanaHaya Ninja Mbona sijayaona yanapatikana kwa nani?