fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,724
- 2,627
Huu uzi nilipata hasira kwanzia tar 24 Dec mpka Tar 3 January .. watu hawakupost fekeche aisee. eti nawafokea !
nkumbusheee
Aisee! Wewe jamaa hukumbuki hata kuna wanyama nao wanahitaji walau utupe hata makombo nao warambe rambe!!BAADA YA MUDAView attachment 1666241
Kuku kakolea viungo mpaka huku navisikia 😄😄😄
Ba mjengo ba mjengo😂, Kupika naweza ila napiga stori na mashemeji😬Halafu wewe, kwani huwezi kupika hivyo mhmhh mama mjengo vipiiii
Ba mjengo ba mjengo, Kupika naweza ila napiga stori na mashemeji
Mimi huyu🙄, labda nimekunyima playlist🚶♀️Naku zoom tu, ulivyomchoyo sasa
Hizi makitu weka chai maziwa tu zinaserebuka
Figo, firigisi tupe jibuVipisi hivi tugawaneniView attachment 1671099
Nagonga kabichi yangu hapa kujifanya my favourite thubutuu.usisahau na kabichi isiyopendwa na wengi
Subiri februari mwisho huko sa hii michicha imeshika hatamu .tunaitikia wito😁Wenye breakfast ya mtori chapati na supu ya kuku waniwekee hapa tafadhali
🤣🤣🤣Kuku kakolea viungo mpaka huku navisikia 😄😄😄
FigoFigo, firigisi tupe jibu
Umenitoa mate ngoja nifanye makeke dinner iwe kama hivi nitaongeza parachichi na ndizi tu hapo.
Yes itakuwa safi sanaUmenitoa mate ngoja nifanye makeke dinner iwe kama hivi nitaongeza parachichi na ndizi tu hapo.
Mkuu shemeji ana mkono mzuri.Feel ma feel ma.View attachment 1675700
Yes itakuwa safi sana