Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

754ff033-ff1a-4817-a2ac-c40b92ce0097.jpg

Mchana mwema viongozi
 
Kulikua kuwe na kaugali pembeni nini?
Asee uyo samaki kiafya alitakiwa aliwe zaidi ya siku 3, unless kama anayemla hapo ni john cena. Mwili utachukua just a fraction of that protein, kiasi kikubwa ataenda kukikojoa chooni.
Angeweka kipande kidogo cha samaki, mbogamboga ndio zingejaa hapo.
 
Asee uyo samaki kiafya alitakiwa aliwe zaidi ya siku 3, unless kama anayemla hapo ni john cena. Mwili utachukua just a fraction of that protein, kiasi kikubwa ataenda kukikojoa chooni.
Angeweka kipande kidogo cha samaki, mbogamboga ndio zingejaa hapo.

Au angetugaia sie na sie tungepata izo nutrients 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom