Rylee
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 547
- 1,024
Kwenye ukwaju tangawizi inatiwa wakati gani?? Kabla au baada ya kuchemsha
Juice ajaaab[emoji108] hiii nimeweka na tangawizi kwa mbaaaaali kama ulivyonifunza mkwe
Sent using Jamii Forums mobile app