Kweli wewe mwanaume wa dar.ndo maana ulishindwa kunigegeda
Nimekumiss sana wewe Mzee wa tunguli
Kweli wewe mwanaume wa dar.ndo maana ulishindwa kunigegeda
Leo niko ofsini.halafu we mbea kweli chalii wangu.Ulinipa nikashindwa?
Ushafika dukani nije?
Sitaki tena kupanda maprado yenu yamenichoshaJana nilikuja na Volvo ile no D ila sijafanikiwa kukutia machoni
Leo niko ofsini.halafu we mbea kweli chalii wangu.
Ngabu hizi shutuma hebu zikanushe ASAP ama zifanyie kazi
Sasa mambo ya duka yanatoka wapi huku? Halafu ngabu naomba dola mia basi mpenziMbea nimefanya nini tena? Acha kunisingizia wewe. Ebo!
Sasa mambo ya duka yanatoka wapi huku? Halafu ngabu naomba dola mia basi mpenzi
Mkuu samahan lakin,iv hzo mirinda orange zenye rangi nyeusi zinapatikana wapi?
Mkuu samahan lakin,iv hzo mirinda orange zenye rangi nyeusi zinapatikana wapi?
hiki mbona hakitii hata hamasa ya kulaYummy..1
yummy..!View attachment 963495
maharage ya hivyo huwa yakipoa kidogo hayaliki sijui kwa nini
hizo orange za siku hizi, au macho yangu tu