Uzi wa vyakula tu

Sasa mambo ya duka yanatoka wapi huku? Halafu ngabu naomba dola mia basi mpenzi

Sasa mimi kusema duka ndo umbea?

Nimetaja duka la mtu kwani?

Mbona mi mwenyewe nimetoka dukani sasa hivi...

We huendagi dukani?

Saa ingine unakuwaga faala sana aisee!
 
  • Thanks
Reactions: amu
zamani nilikua nanunua maji madogo nakuja huku natazama picha za mapochopocho namezea na maji mchana unapita salama bila tabu....siku hzi kila nikija nakutana na comments bila ata picha

Wekeni ata za ku download bas kama paka kalala jikoni!
 
..
IMG-20181211-WA0011.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom