Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

sea_food_lovers-20250715-0001.jpg
 
Tujuane ambao tukibandika nyama inabidi tuichunge ili isimwagikie jikoni.....Sasa hakuna haja ya kuisubiria tena.
Ukishabandika unaweka mwiko kama hapo pichani halafu unaendelea na shunguli zako nyingine,itachemkia usawa huo huo wa maji na si vinginevyo...
Msisahau kuweka karoti na tangawizi mnapochemsha nyama ili kuondoa sumu,nyama ikishaiva unavitoa unatupa halafu unaandaa mahitaji mengine kwa ajili ya kuendelea na upishi.
Nawatakia upishi mwema😀💪🏿
1752799198223.jpg
 
Back
Top Bottom