Uzi wa vyakula tu

IMG_7984.jpeg
 
Jamani eeh. Najua wengi wenu humu ni wazoefu wa vifaa vya electronics vya kupikia. Sasa mimi ninatafuta kifaa ambacho kina matumizi matatu, kubake, kuchoma na kupasha at the same time. Jana nmeenda kuulizia madukani naona wananipiga sound tu ili ninunue, nmekuja kwenu wazoefu sasa mnielekeze ikiwezekana na picha kabisa.
 
Jamani eeh. Najua wengi wenu humu ni wazoefu wa vifaa vya electronics vya kupikia. Sasa mimi ninatafuta kifaa ambacho kina matumizi matatu, kubake, kuchoma na kupasha at the same time. Jana nmeenda kuulizia madukani naona wananipiga sound tu ili ninunue, nmekuja kwenu wazoefu sasa mnielekeze ikiwezekana na picha kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom