Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,427
😁😁 I don't!kwa portion hiyo huwezi pata kitambi hata kwa kukilazimisha
labda kama unalamba bia
Tatizo nimekua mvivu, sifanyi mazoezi hata yakutembea tembea tu. 🥴
😁😁 I don't!kwa portion hiyo huwezi pata kitambi hata kwa kukilazimisha
labda kama unalamba bia
Kwa hangover niliyoamka nayo leo, usiku huu ndio nimepata hamu ya kula msosi kama huu
Teknocrat the tooter.
Mkuu ndio umeamka nacho 😅😅😊😊
Nilikua na njaa sanaMkuu ndio umeamka nacho 😅😅😊😊
Nimejitahidi sana kukipenda hiki kiniaje lakin wapi...View attachment 2947302Mchakato unaendele.....
Jamani eeh. Najua wengi wenu humu ni wazoefu wa vifaa vya electronics vya kupikia. Sasa mimi ninatafuta kifaa ambacho kina matumizi matatu, kubake, kuchoma na kupasha at the same time. Jana nmeenda kuulizia madukani naona wananipiga sound tu ili ninunue, nmekuja kwenu wazoefu sasa mnielekeze ikiwezekana na picha kabisa.