mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,932
na wewe unapiga pasi ndefuš¤£Hapana, sina hamu ya kula tu, nikaona nisipitishe msasa kabisa nile hata tundaš
bora uende tu hospitali ujue moja
na wewe unapiga pasi ndefuš¤£Hapana, sina hamu ya kula tu, nikaona nisipitishe msasa kabisa nile hata tundaš
Hilo chapati ukimbonda nalo mtu atafariki,Supu na Pilafš
Kidimbwi hiyo haliHapana, sina hamu ya kula tu, nikaona nisipitishe msasa kabisa nile hata tundaš
nunua rice cooker chiefbaada ya mama ntilie kupandisha bei ya wali kutoka 1500 mpaka 2000.nikasema acha ninunue jiko nianze kupika mwenyewe.bwana wee kinachonikuta ni zaid ya majanga.nikiweka maji meng yanatoka madida.niseme nipunguze wali unatoka mbichi.nikiweka chumvi inazid nikisema nipunguze yaan inapungua kabisa kama sijaweka.heshima kwa wapishi
š¤£
Kama hajui kadiria maji, kupika boko ni unkwepablenunua rice cooker chief
lile unaweka maji ya baridi kiasi tu unaliacha,kuna jirani yangu mmoja huwa anapikia maji ya moto kwenye rice cooker ni kawaida au ni mimi tu mshamba?Kama hajui kadiria maji, kupika boko ni unkwepable
Hii imeendaChukua hii....
Ukitaka mayai yako uyamenyue vizuri Maganda chemsha na ndimu pamoja au weka vinegar...
View attachment 2744145
Sent using Jamii Forums mobile app
nini hicho kwenye picha ya kwanza
nini hicho kwenye picha ya kwanza