BWANA WANGU
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 362
- 848
🙄Kuna wengine wanakula kenge wanasema samaki mbulu sijui
🙄Kuna wengine wanakula kenge wanasema samaki mbulu sijui
Huo unaitwa ufundi mangungo kama umechemkaAisee nilitaka kujaribu ufundi kisha nitupie hapa..nimechemka


Sasa kama huyu wanampa nyoka watashindwa kweli?Huyu samaki anaitwaje wakuu.
![]()
![]()
![]()

Kwetu tunamwita Mkunga. Sijawahi kumla lknHuyu samaki anaitwaje wakuu.
![]()
![]()
![]()
Kweli jamaa mpk anaboa mnooChief tupunguze picha za kudownload kidogo