Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 14,585
- 113,235
Basi jiandae ila Jumamosi ni siku ya makande.🙂
Kaka umemaliza tambi pakiti nzima?Daah Yanga kafanya nimeunguza tambi zangu lakin sio mbaya msosi umeisha View attachment 2542199View attachment 2542201
Kaka umemaliza tambi pakiti nzima?

nusu mzee pakiti zima mchezo nini?Tabu iko hapo kwa singo faza😅😅😅KWa usafi huu...nikikuoa tutaenda sana maana mm napenda kupika huku nazingatia usafiii sanaaa
Tatzo langu ni kulalia shuka moja mwezi mzima 😅
Nope!Ww ni msabato?
Basi uje na 🥑Tena makande matamu kweli u akula mpaka kuvembewa
Usijali hilo tuu. Wee unipe location tuuBasi uje na 🥑
Kuja hapa kwa mtaalamu, hapa utakuwa na kazi mbili kuu, nyingine namaliza kuzifanya mwenyeweMi sipendi mwanaume mvivu hata kupika chai au mayai hawezi yeye kukaa tu sipendii



Hivi utaweza kula Doriani kweli!?![]()