Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 15,769
- 122,901
Basi jiandae ila Jumamosi ni siku ya makande.🙂
Kaka umemaliza tambi pakiti nzima?Daah Yanga kafanya nimeunguza tambi zangu lakin sio mbaya msosi umeisha View attachment 2542199View attachment 2542201
[emoji23][emoji23]nusu mzee pakiti zima mchezo nini?Kaka umemaliza tambi pakiti nzima?
Tabu iko hapo kwa singo faza😅😅😅KWa usafi huu...nikikuoa tutaenda sana maana mm napenda kupika huku nazingatia usafiii sanaaa
Tatzo langu ni kulalia shuka moja mwezi mzima 😅
Nope!Ww ni msabato?
Basi uje na 🥑Tena makande matamu kweli u akula mpaka kuvembewa
Usijali hilo tuu. Wee unipe location tuuBasi uje na 🥑
Kuja hapa kwa mtaalamu, hapa utakuwa na kazi mbili kuu, nyingine namaliza kuzifanya mwenyewe[emoji4][emoji4][emoji4]Mi sipendi mwanaume mvivu hata kupika chai au mayai hawezi yeye kukaa tu sipendii
Hivi utaweza kula Doriani kweli!? [emoji2365][emoji2365][emoji2365]Kwa hiyo hapo Haina shombo kabisa
Hii kitu utamu wake dah! Acha kabisa [emoji39][emoji39][emoji39]
Hivi utaweza kula Doriani kweli!? [emoji2365][emoji2365][emoji2365]