trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 4,449
- 10,810
Hakuna kinachoshindikana...first day kabisa nmejaribu kupika keki ilikiwa ukikata ndani ipo kama cheese na nilikula yote kuna ya kunishinda hapo mkuu




Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kinachoshindikana...first day kabisa nmejaribu kupika keki ilikiwa ukikata ndani ipo kama cheese na nilikula yote kuna ya kunishinda hapo mkuu




Wow thanksKaribu Mkuu.
Kachumbari tu ndio haipo, ambayo nakata dakika chache tu
Keki pilau mboga vyote vipo bado
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Hakuna kinachoshindikana...first day kabisa nmejaribu kupika keki ilikiwa ukikata ndani ipo kama cheese na nilikula yote kuna ya kunishinda hapo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app

View attachment 2458597
Chai kwa breakfast lazima...kikombe kilikuwa pembeni tu.🙂Menu yako huwa haikosi kikombe cha kahawa au chai. Maajabu leo
Hii sio pilau
Mmh tumepigwa hapa🤔Happy boxing day
Sema hii keki tamu sanaView attachment 2458597View attachment 2458598
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tuna steakSteak inavutia kweli utafikiri steak ya wale samaki nimesahau jina lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Tuna fish asante kunikumbusha, wanavyokatwa steak yake lazima utamani aisee.Tuna steak
Mlikula wangap huo msosi?