Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Maziwa ya lita 1, chukua tende za ¼ kilo,
Toa kokwa za tende ibaki ile nyama ya tende yenyewe, kisha ziloweke kwenye maziwa unaweza kucha kwa muda au ukasaga hapo hapo
Ikikupendeza unaweza weka ndizi

Unaweza sagia na karanga, korosho, wemgine hadi mihogo.

Binafsi napenda kuweka karanga ama korosho baada ya kuwa nishasaga juice, ndio naweka karanga ama korosho

Umenikumbusha ngoja nikaitoe kwenye friji niigide
Mambo ya dumu la lita 5 kukaa mwezo mzima ni wakishua
Sisi wa USWAHILINI MATOLA siku 3 tu, juisi kama maji
Karanga zilizo kaangwaa au mbichi? na je zinawekwa nzima nzima hazisagwi?
 
IMG_20220910_132019_713.jpg
 
Back
Top Bottom