Ruqaiyah
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 1,118
- 1,483
Kidogo sio sanaUkweli....ww huna wivu?
Kidogo sio sanaUkweli....ww huna wivu?
Jamaa mmekaa mmegusanaaKidogo sio sana
sijagusana na mtu mmJamaa mmekaa mmegusanaa
sijagusana na mtu mm
Ndio mchumba wako?!..the guy is all over u halaf unasema hamjagusana
Ndio
SikuzionaKama ulivyokana pic zako
Sikuziona
Nyc nyt
Nyc nyt
Huyo mtakatifu nani?View attachment 720671tatizo sioni vizur
Mimi nikila huwa naumwa saaana na tumbo, mara ya mwisho kula ni 2013 kama sikosei na sitakuja kuzila tena.Sipendi kande,sipendiiiii,..yaan hata uweke kuku ndan,
Nilizila sana O-level boarding skull,had zilinipanda kichwan maanina
Hivi unavyotumaga si unapikaga mwenyewe?Nimeshaoa mbona, na watoto wawili, haya mambo sio ya wanawake peke yao, hata sisi wanaume yatupasa tuyajue. Na ukiwa unayajua, hutopikiwa vibaya. Siku mke akizingua wala hupati shida unaingia mwenyewe jikoni na kutoa vitu munakash.
Karibu mama, hii nyama sijui Mungu aliiumba vipi. Ni tamu balaa.
HahahahahahahahahahahahahaKaribuni dinner ya mwanaume wa DarView attachment 720846
NdioHivi unavyotumaga si unapikaga mwenyewe?
DahKaribuni dinner ya mwanaume wa DarView attachment 720846