Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,659
- 20,995
Asalaam aleykum jamiiyah, kusudio la uzi huu ni kuweka bidhaa hapa ambayo unataka kuiuza ukizingatia biashara kwa siku za hivi karibuni zimekuwa za kimtandao zaidi, hiyo mtu yoyote atatupia bidhaa yake hapa na wanunuzi watatupia kiasi walichonacho kwa bidhaa husika.
N. B: Muuzaji ataweka bei ya kianzio kwa uhitaji wake na wahitaji watatiriri kwa kile kiasi walichonacho cha offer zao, mwishowe muuzaji atachagua kiasi cha bei kinachomfaa na kuifunga biashara.
N. B: Muuzaji ataweka bei ya kianzio kwa uhitaji wake na wahitaji watatiriri kwa kile kiasi walichonacho cha offer zao, mwishowe muuzaji atachagua kiasi cha bei kinachomfaa na kuifunga biashara.