me1
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 367
- 421
Habari wanajamvi,
Kwenye mahangaiko yangu nina viduka kadhaa sehemu mbalimbali mkoani DSM.Ndoto yangu ni kuwa na matawi Dar nzima.
Nime-specialize kwenye uuzaji wa Unga wa SEMBE/DONA, CHAKULA CHA MIFUGO na MIKATE na VITAFUNWA (Bakery).
Lengo la kuleta uzi huu ni kuwa sitaki kabisa kuchanganya mambo na hivyo sihitaji kuchanganya biashara zingine na hivyo nakaribisha wawekezaji walioko serious tufanye kazi.
Maduka yangu yanakuwa na sifa hizi.
1. Yanakuwa maeneo changamfu mfano: Chanika mwisho njia panda ya Mbagala na Masaki.
2. Maduka yamelipiwa kodi, yana leseni ya hiashara na TIN
3. Maduka ya EFD kwa ajili ya compliance ya mambo ya jamhuri
4. Maduka yana muuzaji tayari.
Sasa nahitaji mbia wa kufanya nae biashara kwa condition zifuatazo:
1. Biashara yake lazima iwe ya Chakula ( Mfano:Mafuta ya kula, Mchele, Maharage, Ulezi, Lishe, Mayai n.k)
2. Biashara lazima iwe na bei ya chini kidogo kuliko bei za sokoni ili kuongeza kasi ya mzunguko na awe tayari kuwauzia wanunuzi wa jumla kwa bei za jumla)
3. Kwa bidhaa ambazo ni rahisi kuzi- brand basi itakuwa ni vyema zikiwa branded. Mfano LISHE, MCHELE, Unga wa Muhogo n.k
4. Lazima akubali kushare cost zitakazo poza maumivu kwenye uwekezaji uliofanyika (Hii ni makubaliano)
NAMNA YA UENDESHAJI
- Mbia ataingia ubia na sisi na kupata report ya mauzo kila siku na kupata pesa yake kwa njia atakayochagua kila siku.
- Risk ya mzigo na pesa itakuwa kwetu kwa kipindi chote cha biashara
- Mbia anaruhusiwa kufanya promotions za aina yoyote na kuliita dula la kwake pasi na kizuizi
- Mbia atachagua maduka anayotaka kuweka biashara yake
- Ubia huu hauna mgawanyo wa faida na hivyo bills zote zitakuwa fixed pasi kujali mwenendo wa boashara.
- Mbia hawezi kuleta biadhaa iliyoletwa na mwingine. Mfano kama dukani kuna mafuta, huwezi tena kuleta mafuta.
Conditions zingine ni Makubaliano yanayozungumzika.
Niko PM nawasubiri kwa mazungumzo zaidi na mawasiliano.
Karibuni sana tuijenge Nchi.
Kwenye mahangaiko yangu nina viduka kadhaa sehemu mbalimbali mkoani DSM.Ndoto yangu ni kuwa na matawi Dar nzima.
Nime-specialize kwenye uuzaji wa Unga wa SEMBE/DONA, CHAKULA CHA MIFUGO na MIKATE na VITAFUNWA (Bakery).
Lengo la kuleta uzi huu ni kuwa sitaki kabisa kuchanganya mambo na hivyo sihitaji kuchanganya biashara zingine na hivyo nakaribisha wawekezaji walioko serious tufanye kazi.
Maduka yangu yanakuwa na sifa hizi.
1. Yanakuwa maeneo changamfu mfano: Chanika mwisho njia panda ya Mbagala na Masaki.
2. Maduka yamelipiwa kodi, yana leseni ya hiashara na TIN
3. Maduka ya EFD kwa ajili ya compliance ya mambo ya jamhuri
4. Maduka yana muuzaji tayari.
Sasa nahitaji mbia wa kufanya nae biashara kwa condition zifuatazo:
1. Biashara yake lazima iwe ya Chakula ( Mfano:Mafuta ya kula, Mchele, Maharage, Ulezi, Lishe, Mayai n.k)
2. Biashara lazima iwe na bei ya chini kidogo kuliko bei za sokoni ili kuongeza kasi ya mzunguko na awe tayari kuwauzia wanunuzi wa jumla kwa bei za jumla)
3. Kwa bidhaa ambazo ni rahisi kuzi- brand basi itakuwa ni vyema zikiwa branded. Mfano LISHE, MCHELE, Unga wa Muhogo n.k
4. Lazima akubali kushare cost zitakazo poza maumivu kwenye uwekezaji uliofanyika (Hii ni makubaliano)
NAMNA YA UENDESHAJI
- Mbia ataingia ubia na sisi na kupata report ya mauzo kila siku na kupata pesa yake kwa njia atakayochagua kila siku.
- Risk ya mzigo na pesa itakuwa kwetu kwa kipindi chote cha biashara
- Mbia anaruhusiwa kufanya promotions za aina yoyote na kuliita dula la kwake pasi na kizuizi
- Mbia atachagua maduka anayotaka kuweka biashara yake
- Ubia huu hauna mgawanyo wa faida na hivyo bills zote zitakuwa fixed pasi kujali mwenendo wa boashara.
- Mbia hawezi kuleta biadhaa iliyoletwa na mwingine. Mfano kama dukani kuna mafuta, huwezi tena kuleta mafuta.
Conditions zingine ni Makubaliano yanayozungumzika.
Niko PM nawasubiri kwa mazungumzo zaidi na mawasiliano.
Karibuni sana tuijenge Nchi.