Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,456
- 31,024
Makamarade nimeona nianzishe huu Uzi ili kupeana uzoefu wa maisha ya Jela. Sisi wote ni wafungwa watarajiwa alijisemeaga magufuli.
Sasa hebu tupeane mbinu maisha misamiati tamaduni taratibu za Jela ili siku ukienda kule unakuwa Mwenyeji. Pia tuambiane mabosi wanakaa maeneo gani kule Jela? Wanavyumba vyao?
Majitu yaliyouwa je Kila mtu anachumba chake? Au yamelundikwa? Je chumba gani ni hatari zaidi kule Jela na mfungwa gani ni hatari zaidi? Je kuna mfungwa yupo Jela toka mwaka 1977 ccm inazaliwa mpaka leo hajatoka?
Je wafungwa wanapata msongo gani wa mawazo akijua fika mke wake lazima agegedwe wakati yeye yupo Jela? Je wafungwa wakike Wana life la kibabe? La kindava kama wakiume?
Je, wafungwa wakike wanapashanaje joto kimapenzi? Nk
Sasa hebu tupeane mbinu maisha misamiati tamaduni taratibu za Jela ili siku ukienda kule unakuwa Mwenyeji. Pia tuambiane mabosi wanakaa maeneo gani kule Jela? Wanavyumba vyao?
Majitu yaliyouwa je Kila mtu anachumba chake? Au yamelundikwa? Je chumba gani ni hatari zaidi kule Jela na mfungwa gani ni hatari zaidi? Je kuna mfungwa yupo Jela toka mwaka 1977 ccm inazaliwa mpaka leo hajatoka?
Je wafungwa wanapata msongo gani wa mawazo akijua fika mke wake lazima agegedwe wakati yeye yupo Jela? Je wafungwa wakike Wana life la kibabe? La kindava kama wakiume?
Je, wafungwa wakike wanapashanaje joto kimapenzi? Nk