Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Na mimi tulikuwa tunaongea kinyihaNi kindali? yako wewe ni ipi
Na mimi tulikuwa tunaongea kinyihaNi kindali? yako wewe ni ipi
Haha basi Mna vichwa vizuriNa mimi tulikuwa tunaongea kinyiha
Kama ulienda ukiwa mkubwa ni ngumu kujuaHaha basi Mna vichwa vizuri
Maisha yangu mengi nimekulia shinyanga lakini nimetoka bila, bukoba nimekaa miaka minne napo bila, mbeya nimekaa miaka 3 na huwa narudi rudi Mara kadhaa ila bila napo.
Waitu mwabonayoki?
Ni hivyo ila namna nilivyo itamka mimiKinyiha habari ya kazi wanasemaje
Çava bién,hahahahh!el làtex, les algues marines, la parella casada i el final del dia la llengua del país sencera només serà suahili ...
Kufanya nini wakati bibi,babu,shangazi,baba Mkubwa,baba mdogo wote wanaishi mjini......Aiseee
Huwa huendi kijijini kusalimia??
Aiseemimi pia si kilugha changu, sio hata mwenyeji wa mkoa huo ila niliwahi kukaa huko







Ndio maanaKufanya nini wakati bibi,babu,shangazi,baba Mkubwa,baba mdogo wote wanaishi mjini......
Hahaha hongera
😀😀😀😀 kumbe umeniona Mtani.Kwaiyo umeamua kupita kimya kimya mndele hutaki nifundisha kabisa kinguu Shadeeya
Mwaka huu narudi bush
Taitu kalesa, mwalindauli kuo?Posuta kung'anda
Mazala=madharahaya ndio mazala ya kukulia mjini nimezaliwa muhimbili nimekulia mnazi mmoja mkuu: hakika lugha na yoongea kwa ufanisi ni hii lugha yetu tamu ya kiswahili.
Kwaiyo? Acha utoto kuwa pumbavu weweMazala=madhara